johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,430
Hizi siasa zinazofanywa na Chadema leo wakiongozwa na Mbowe zilishafanywa na CUF ya Lipumba na Maalim Seif enzi za IGP Omar Mahita lakini zilifeli.
Wakati ule CUF walijiita Ngangari na Mahita akawabatiza vijana wake jina la "Ngunguri" na kilichofuatia tunakijua CUF walihamia uhamishoni Mombasa kwa muda.
Siasa za zama hizi ni za kutumia akili zaidi kuliko nguvu.
Kama Chadema wataendelea na aina hii ya siasa wahesabu maumivu kwani hawatafika popote; wanaweza kuporomoka zaidi ya pale walipo CUF kwa sasa.
Urafiki wa CCM na upinzani katika awamu hii ya 5 hautofautiani sana na ule wa awamu ya 3 enzi za Mzee Mkapa.
Maendeleo hayana vyama!
Wakati ule CUF walijiita Ngangari na Mahita akawabatiza vijana wake jina la "Ngunguri" na kilichofuatia tunakijua CUF walihamia uhamishoni Mombasa kwa muda.
Siasa za zama hizi ni za kutumia akili zaidi kuliko nguvu.
Kama Chadema wataendelea na aina hii ya siasa wahesabu maumivu kwani hawatafika popote; wanaweza kuporomoka zaidi ya pale walipo CUF kwa sasa.
Urafiki wa CCM na upinzani katika awamu hii ya 5 hautofautiani sana na ule wa awamu ya 3 enzi za Mzee Mkapa.
Maendeleo hayana vyama!