Jamani tumepiga siasa za kutosha na mara nyingi tumekuwa tukitupia lawama utawala kitu ambacho ni sahihi tu kama pia wananchi nasi tunamikakati endelevu.
sisi wananchi pia kwa namna moja ama nyingine tu mafisadi maana hatuzitumii nafasi zetu ktk kubuni mikakati inayoeleweka ya kuiokomboa nchi na tumebaki kuingalia tu serikali ituletee maisha bora mlangoni wakati sisi tumeketi vijiweni na kupiga bao na sogo ,hapa nieleweke sio wote lakini tulio wengi ndivyotulivyo.
Kwa uelewa wangu mfinyu ni kua serikali kamwe haiwezi uondoa hali TETE tuliyo nayo ila inachoweza kufanya ni kutengeneza mazingira ambayo kwayo wananchi wabunifu wataweza kuyatumia na kujiletea maisha bora,yawezekana kupiga kwetu usingizi ndiko kunawapa nafasi mafisadi kuzifisadi pesa zetu ,ukiangalia hata majirani zetu mfano wakenya wamekua wakitumia usingizi wetu kujinufaisha kutoka ktk malighafi yetu wenda kabisa sisi niwapiga kelele tusio na lolote wala chochote.
Hivyo humu ndani naamini kabisa kuna wataalamu na wazoefu wazuri tu na niomba pia tuchangie ktk haya-
mfano mtu
1.akitaka kuanzisha NGO ni NGO ipi? itafaa zaidi ktk kuwaamusha watanzania usingizini walio wengi
2.Ni NGO ipi na yenye mtindo upi ambayo kwayo itakua rahisi kupata wafadhili ili ipate kuedesha shughuli kwa ubora zaidi.
3. je NGO ya mtindo upi iliyo muafaka kwa sasa.
4.je ni process zipi ambazo NGO inapitia ili ipate haki ya kuomba msaada mfano IMF na kwingineko
Naomba tujadili haya wenda tunaweza kuja na majibu mazuri zaidi badala ya kuitegemea serikali zaidi.
sisi wananchi pia kwa namna moja ama nyingine tu mafisadi maana hatuzitumii nafasi zetu ktk kubuni mikakati inayoeleweka ya kuiokomboa nchi na tumebaki kuingalia tu serikali ituletee maisha bora mlangoni wakati sisi tumeketi vijiweni na kupiga bao na sogo ,hapa nieleweke sio wote lakini tulio wengi ndivyotulivyo.
Kwa uelewa wangu mfinyu ni kua serikali kamwe haiwezi uondoa hali TETE tuliyo nayo ila inachoweza kufanya ni kutengeneza mazingira ambayo kwayo wananchi wabunifu wataweza kuyatumia na kujiletea maisha bora,yawezekana kupiga kwetu usingizi ndiko kunawapa nafasi mafisadi kuzifisadi pesa zetu ,ukiangalia hata majirani zetu mfano wakenya wamekua wakitumia usingizi wetu kujinufaisha kutoka ktk malighafi yetu wenda kabisa sisi niwapiga kelele tusio na lolote wala chochote.
Hivyo humu ndani naamini kabisa kuna wataalamu na wazoefu wazuri tu na niomba pia tuchangie ktk haya-
mfano mtu
1.akitaka kuanzisha NGO ni NGO ipi? itafaa zaidi ktk kuwaamusha watanzania usingizini walio wengi
2.Ni NGO ipi na yenye mtindo upi ambayo kwayo itakua rahisi kupata wafadhili ili ipate kuedesha shughuli kwa ubora zaidi.
3. je NGO ya mtindo upi iliyo muafaka kwa sasa.
4.je ni process zipi ambazo NGO inapitia ili ipate haki ya kuomba msaada mfano IMF na kwingineko
Naomba tujadili haya wenda tunaweza kuja na majibu mazuri zaidi badala ya kuitegemea serikali zaidi.