Siasa za utoaji PhD za Open University of Tanzania

nakubaliana na wewe ndugu joshua_ok kuwa chuo hiki ndo kichaka cha wanasiasa kupata "vyeti" nashauri wafanye tracer study kung'amua RELEVANCE ya koz wanazotoa. Inahudhunisha!!!
...umetoka povu jingi kama vile wewe ndio msomiii,wakati hata kuandika hujui,eti "hudhuni",ulimbukeni kitu kibaya sana!
 
What is outside gives indication of what is inside. If we agree that the tittle is wrong then dont tell me what is inside is correct.
The point is: if the supervisor couldnt even notice the problems with the title how could he mark it properly?
 
Ipi ina heshima zaidi PhD au kama angepewa tuzo kama Order of the Burning Star-first class, Order of Kilimanjaro, au hata kama malikia wa Uingereza angemtunukia Knightood of St.Michael and St. George-yaani akaitwa Sir Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Lady Salma? Na zote hizo anastahili!
Andama OUT kwaq mambo mengine , lakini sio hilo la kumtunukia PhD rais waq Watanzania aliyepita.
Lini watu wengi hapa Tz watajua kutofautisha kati ya shahada za heshima na shahada za taaluma!?
 
title tu inaonyesha kuwa content ni "tia maji tia maji" yaani huyo mwanafunzi na supervisor wote ni wabovu kupitiliza. Kuthibitisha hili ni NADRA sana kukuta walimu na wanafunzi wa Open University wakichapisha MATOKEO ya TAFITI zao kwenye MAJARIDA YA KIMATAIFA YA TAALUMA (International peer-reviewed academic journal). Vigezo vya kupandishwa cheo hapo OUT ndo balaa la karne ukiandika PAMPHLET na makala magazetini (Local newspaper) pamoja na "article" kwenye journal zao "mufilisi" unapanda mpaka kufikia U-profesa, ni hatari sana kwa mustakabali wa taaluma nchini.
** Tena hapo OUT kuna ukabila (UPARE) wa sana, tusitegemee jipya lolote.
 
No tesearch no right to speak. OUT is among the best universities in this country.
 
mpeni na mzee Maembe PhD ya heshima maana naona anaweweseka tu baada ya kukosa uteuzi wa Ngosha
Membe hahitaji post yoyote mbali na Urais. Na kwakuwa kaukosa ametulia anacheki game linavyokwenda...
Hiki chuo ni kimbilio la vilaza wengi (hasa walio katika siasa) kuhusu tafiti ndo usiseme kabisa maana Title za Andiko la Shahada za Uzamivu ni laini mno utafikiri Makala ya gazeti. Prof. Ndalichako/TCU hebu angalieni hili.
Ni moja kati ya chuo cha hovyo kama Treni ya Mwakyembe
 
title tu inaonyesha kuwa content ni "tia maji tia maji" yaani huyo mwanafunzi na supervisor wote ni wabovu kupitiliza. Kuthibitisha hili ni NADRA sa
na kukuta walimu na wanafunzi wa Open University wakichapisha MATOKEO ya TAFITI zao kwenye MAJARIDA YA KIMATAIFA YA TAALUMA (International peer-reviewed academic journal). Vigezo vya kupandishwa cheo hapo OUT ndo balaa la karne ukiandika PAMPHLET na makala magazetini (Local newspaper) pamoja na "article" kwenye journal zao "mufilisi" unapanda mpaka kufikia U-profesa, ni hatari sana kwa mustakabali wa taaluma nchini.
** Tena hapo OUT kuna ukabila (UPARE) wa sana, tusitegemee jipya lolote.
Kwa haraka haraka tu mtu mwenye akili timamu akisoma ulichoandika atagundua kuwa wewe una chuki binafsi na OUT kwa kuwa unaandika vitu vya uongo ndio maana unatumia fake id. Huenda ulifeli hapo OUT ukatimuliwa sasa umeamua kuipaka matope. JK alikuwa ni rais wa nchi kwa miaka 10 na alifanya mengi mazuri japo mabaya pia yapo. Kumtunuku PhD ya heshima si jambo la ajabu wala OUT si wa kwanza kumtunuku.
 
Open University ni mojawapo ya vyuo vya umma ovyo vilivyowahi kutokea katika ulimwengu huu. Unabaki kujiuliza TCU hawalioni hili? mbona mnawabana Private universities wakiboronga? au ndo double standard?
 
Wewe andreakalima naona unajitekenya mwenyewe. Kwa taarifa yako OUT ni chuo cha 4 kwa ubora wa vyuo vikuu nchini kikiwa nyuma ya MUHAS, SUA na UDSM. Anayebisha aingie kwenye google asearch "best universities in Tanzania 2015". Acheni porojo jamani watanzania wenzangu. Kama kosa ni kumpa kikwete PhD ya heshima, vipi kuhusu kuteuliwa kwake kuwa Chancellor wa UDSM?
 
ni upuuzi kujidai eti OUT ni ya tatu kwa ubora nchini? Hiv siku hizi vyuo vikuu vinalinganishwa KITAIFA kama sekondari kwenye matokeo ya Mtihani wa kitaifa wa NECTA. Kwa taarifa yako neno University (limetoka kwenye neno UNIVERSAL) so CHUO KIKUU si taasisi ya kitaifa bali ya dunia nzima so usijilangishe na Wachovu wenzako nchini. Na si dhambi OUT kuipita UDSM, MUHAS ama SUA.
 
Sasa kama umekubali kuwa vyuo vyote tanzania ni vichovu, kwa nini unaiandama OUT pekee????? Kwa nini usikiandame UDSM kwa kukubali kuwa chini ya Chancellor ambaye unadai hakustahili kupewa PhD na OUT? Wewe kama elimu ilikushinda iache OUT imewasaidia wengi sana.

ni upuuzi kujidai eti OUT ni ya tatu kwa ubora nchini? Hiv siku hizi vyuo vikuu vinalinganishwa KITAIFA kama sekondari kwenye matokeo ya Mtihani wa kitaifa wa NECTA. Kwa taarifa yako neno University (limetoka kwenye neno UNIVERSAL) so CHUO KIKUU si taasisi ya kitaifa bali ya dunia nzima so usijilangishe na Wachovu wenzako nchini. Na si dhambi OUT kuipita UDSM, MUHAS ama SUA.
 
Kwani taasisi ya kimataifa haiwezi kulinganishwa na taasisi zingine za kimataifa zilizopo nchini? Mbona simba na yanga zinacheza ligi ya nyumbani tunatafuta bingwa wa kwenda kucheza kimataifa? Hoja zako hazina mashiko
 
Nimeshangazwa sana na Utoaji wa PhD wa Chuo hiki kikongwe hapa Tanzania (1992-2016). Kwanza aina ya tafiti wanazofanya zinaniacha mdomo wazi kwa mfano Mahafali ya 16 December 2015 mtunukiwaji aliandika "thesis" inaitwa "DETERMINANTS OF SUSTAINABLE FARMERS ORGANIZATIONS IN TANZANIA" na akapewa PhD kilainiii namna hii tutatoboa kweli? Sasa kimbembe kimekuja kwenye Shahada ya Heshima ya jana ndo nimechoka vigezo vilivyotumika kumpatia "mtunukiwaji" eti KUTEMBELEWA NA MARAIS WA DUNIA hivyo anastahili kupewa daah! Inasikitisha. Tafakari.
Haahhahaaa au wenzangu unaona wivu mh kuramba Phd ya bwelele
 
ifike mahala tutazame elimu yetu miaka 50 ijayo kama ndo PhD za dizaini hii tutarajie maumivu na kupitwa na vinchi kama Uganda maana wao. Lugha (kiingereza) hatujui, Wavivu wa kusoma hata TITLE ya DISSERTATION/THESIS nayo itushinde jamani? Tuwe wakweli tu
 
Back
Top Bottom