Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,912
Sitaki kuamini kuwa ni kwa Tanzania pekee katika Afrika na dunia ndipo unakutana na upinzani usio na fikra pana wala uwezo wa kuibua hoja.
Kauli za wanasiasa wa upinzani zote zimekua zikija baada ya zile za wanaoongoza Serikali .
Inahuzunisha Mno kuwa na fikra kwamba vyama vya upinzani ni replica ya kasuku.
wanarudia kile kile tulichowahi kusikia.
Hii sio afya.
Kauli za wanasiasa wa upinzani zote zimekua zikija baada ya zile za wanaoongoza Serikali .
Inahuzunisha Mno kuwa na fikra kwamba vyama vya upinzani ni replica ya kasuku.
wanarudia kile kile tulichowahi kusikia.
Hii sio afya.