britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Kwanza tiuanze Kwa kuuweka ukweli wazi kabisa
Hawa wakifa Mimi sitakuja kujipendekeza eti hawana wa kuziba pengo Lao,
Kusema wakifa aimaanishi lazima wanitangulie maana hata Mimi naweza watangulia lakin ikitokea wakanitangulia sitaleta sita za Kinafiki,
Nani ataamka na kuwakemea wazee waliotuobia ?? Mbaya Zaid mnasubiria wafe ndo muwape sifa za kijinga???
Nakumbuka kidonda tulichoachwa na helà za Escrow, Richmond, Kagoda, Mchuchuma, alafu mtu anakufa mnaleta Unafiki kuwa hatapata mbadala?? Umbadala uo ni katika kuiba au kufanya vipi??
Namkumbuka Kambona alipokufa ilibidi wake kumuombea ruhusa kuona kama atazikwa nchini mwake, hakuna aliyasema kitu, na kumtetea wote kimya,
Kabla hawajafa hawa wazee walete helà zetu za
1.Richmond
2. Liganga
3. Mchuchuma
4. Kagoda
5. Escrow
6. Mashamba ya serikali
7. Uuzwaji wa Nyumba za serikali nao warudishe
Namalizia Kwa Kusema kizazi cha Tanzània ni cha aina yake
Wanasahau dakika mbili,
Nitakuwa na Update Uzi huu kila akifa mtu
Britanicca
Hawa wakifa Mimi sitakuja kujipendekeza eti hawana wa kuziba pengo Lao,
Kusema wakifa aimaanishi lazima wanitangulie maana hata Mimi naweza watangulia lakin ikitokea wakanitangulia sitaleta sita za Kinafiki,
Nani ataamka na kuwakemea wazee waliotuobia ?? Mbaya Zaid mnasubiria wafe ndo muwape sifa za kijinga???
Nakumbuka kidonda tulichoachwa na helà za Escrow, Richmond, Kagoda, Mchuchuma, alafu mtu anakufa mnaleta Unafiki kuwa hatapata mbadala?? Umbadala uo ni katika kuiba au kufanya vipi??
Namkumbuka Kambona alipokufa ilibidi wake kumuombea ruhusa kuona kama atazikwa nchini mwake, hakuna aliyasema kitu, na kumtetea wote kimya,
Kabla hawajafa hawa wazee walete helà zetu za
1.Richmond
2. Liganga
3. Mchuchuma
4. Kagoda
5. Escrow
6. Mashamba ya serikali
7. Uuzwaji wa Nyumba za serikali nao warudishe
Namalizia Kwa Kusema kizazi cha Tanzània ni cha aina yake
Wanasahau dakika mbili,
Nitakuwa na Update Uzi huu kila akifa mtu
Britanicca