paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,504
- 3,499
Wakati kina Zitto, Sarungi, kina Lissu n.k wakiendelea kusambaza uongo juu ya nchi yao na hali ya kisiasa nchini, kule kwa wenzetu Ulaya, Amerika na sehemu zingine zilizostarabika na kuheshimiana, kusema uongo tu ni sababu tosha ya kuwajibishwa kisiasa na hata kutolewa katika nafasi mtu aliyonayo.
Ni muhimu sasa hasa Waziri wa mambo ya nje Mh. Palamagamba Kabudi kuieleza Dunia jinsi ambavyo ilivyo tofauti ya siasa za Ulaya, Amerika na huku kwetu Afrika na Tanzania.
Mambo mengi ambayo yanasambazwa na hao wenzetu, ni ya uwongo na hayana hata chembe ndoogo ya ukweli.
Tofauti ya siasa zetu na Ulaya, ni uongo!
Ni muhimu sasa hasa Waziri wa mambo ya nje Mh. Palamagamba Kabudi kuieleza Dunia jinsi ambavyo ilivyo tofauti ya siasa za Ulaya, Amerika na huku kwetu Afrika na Tanzania.
Mambo mengi ambayo yanasambazwa na hao wenzetu, ni ya uwongo na hayana hata chembe ndoogo ya ukweli.
Tofauti ya siasa zetu na Ulaya, ni uongo!