pingu mkoka
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 434
- 110
Tutapiga makelele oo chama hiki hakifai labda kingeingia hk ingekuwa afadhali.sasa tukae tukijua hata kama kuna chama upinzan kitaingia madarakan tukae tukijua mambo yatakuwa yale yale. watu wanatafuta kula tu kelele zote hizo.