Nimeona kupitia vyombo vya habari taarifa kuhusu mauaji ya kiongozi wa chadema huko Arusha, ni jambo la kusikitisha sana ndani ya taifa tunaloliita kisiwa cha amani kufikia hatua ya kuuwana sababu ya tofauti za kiitikadi! Naomba maoni yenu tunaelekea wapi na siasa zetu za Tanzania kisiwa cha amani inayo toweka!