sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,562
- 11,473
Mbona kwenye chama chenu ukitofautiana na mkubwa unatimuliwa bila hata kuhojiwa.? We kweli we hujielewi.Hizo ni hisia zako kwa Chadema Chadema kinahitaji mabadiliko kodogo sana haswa upande wa uzoefu wa kidiplomasia
Nyanja zingine Chadema kiko sawa na kama kuhusu visasi sidhani kama chadema kitalipiza kisasi ila kitaacha sheria zichukue mkondo wake
Sent using Jamii Forums mobile app