nilikuwa najiuliza siku nyingi hata mpaka sasa sijapata jibu yakinifu la kwanini wasomi wetu wengi (wanazuoni) wanaobahatika kubaki hapa nchini wanajiingiza kwenye siasa?. Kwani kwenye siasa kuna nini mpaka wasomi hata wale ambao bado wapo kwenye fani zao wanalilia kila siku kuingia kwenye siasa? Jamani nisaidieni kwa hili ili baadae tuweze kuinusuru nchi yetu.
Nilikuwa najiuliza siku nyingi hata mpaka sasa sijapata jibu yakinifu la kwanini wasomi wetu wengi (wanazuoni) wanaobahatika kubaki hapa nchini wanajiingiza kwenye siasa?. Kwani kwenye siasa kuna nini mpaka wasomi hata wale ambao bado wapo kwenye fani zao wanalilia kila siku kuingia kwenye siasa? Jamani nisaidieni kwa hili ili baadae tuweze kuinusuru nchi yetu.
Nilikuwa najiuliza siku nyingi hata mpaka sasa sijapata jibu yakinifu la kwanini wasomi wetu wengi (wanazuoni) wanaobahatika kubaki hapa nchini wanajiingiza kwenye siasa?. Kwani kwenye siasa kuna nini mpaka wasomi hata wale ambao bado wapo kwenye fani zao wanalilia kila siku kuingia kwenye siasa? Jamani nisaidieni kwa hili ili baadae tuweze kuinusuru nchi yetu.