BJEVI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 1,359
- 251
Wana jf ni wazi kuwa demokrasia TZ itadhoofishwa na inaendelea kudhoofishwa daima na chombo tunachokiita TBC.
UPENDELEO WA WAZI NDO DHIMA YAO HASA LINAPOKUJA SUALA LA KAMPENI mfano mzuri ni IGUNGA.
Kwa kuwa chombo hiki kinaendeshwa kwa kodi za wananchi ni halali kufanya haya???
UPENDELEO WA WAZI NDO DHIMA YAO HASA LINAPOKUJA SUALA LA KAMPENI mfano mzuri ni IGUNGA.
Kwa kuwa chombo hiki kinaendeshwa kwa kodi za wananchi ni halali kufanya haya???