mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hiyo ndio hali ya siasa kwa hivi sasa Tanzania. Watu wamerudi kimwili ili walinde maslahi yao lakini kiroho wako upande wa pili.
Madiwani wanajiuzulu na kujiunga CCM sio kama wanaipenda wanatafuta namna ya kupata Udiwani, vivyo hivyo na baadhi ya Wabunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madiwani wanajiuzulu na kujiunga CCM sio kama wanaipenda wanatafuta namna ya kupata Udiwani, vivyo hivyo na baadhi ya Wabunge.
Sent using Jamii Forums mobile app