Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Siasa za Kitanzania hua ni moja kati ya vivutio na maajabu ya dunia!
Ili taifa liende mbele inabidi liwe na watu wenye muono mbele (Vision) na wenye charisma!
Sasa hapa kwetu naona kama charismatic leaders wanawekwa pending ila wenye kujua kujisogeza ndio wanapewa kipaumbele, kama taifa linaweza kuzama kama wenye kujipendekeza ndio watakua masteling!
Kuna tatizo na tunashangawa! kwa maoni yangu taifa lingenda mbele kama tungepata viongozi wenye vission 'without vission people perish' sipendi tuje tuangamie.
Weak.people revange, strong people forgives but intelligent ignores! Tuanze kuwasoma viongozi wetu wako upande gani! are they weak, strong or intelligent? Then tutajua taifa letu linaelekea wapi?
Ili taifa liende mbele inabidi liwe na watu wenye muono mbele (Vision) na wenye charisma!
Sasa hapa kwetu naona kama charismatic leaders wanawekwa pending ila wenye kujua kujisogeza ndio wanapewa kipaumbele, kama taifa linaweza kuzama kama wenye kujipendekeza ndio watakua masteling!
Kuna tatizo na tunashangawa! kwa maoni yangu taifa lingenda mbele kama tungepata viongozi wenye vission 'without vission people perish' sipendi tuje tuangamie.
Weak.people revange, strong people forgives but intelligent ignores! Tuanze kuwasoma viongozi wetu wako upande gani! are they weak, strong or intelligent? Then tutajua taifa letu linaelekea wapi?