Ujue mi kuna wakati napata mashaka sana na Zito kabwe, hivi ni kiumbe wa aina gani? yaani yeye wenzake wakihangaika kuutafuta ukombozi wa taifa lao yeye yuko busy kuwarudisha nyuma! hii nayo inanipa mashaka kama kweli huyu ni mtanzania.
Ni ajabu sana Dr Slaa alipokua CHADEMA zito alikua hampendi akisema anatumia vibaya madaraka, leo akisikia kuna mtu anamkosoa Dr zito tena anamshambulia huyo mtu, kwasababu tu Dr kanunuliwa CCM basi kawa rafiki wa zito! sasa zito umesimama wapi? ujue unapoteza credibility yako...Wewe hufai hata kuwa Msimamizi wa mradi wa kuku kama ndo ulivyo ndumi la kuwili
Ni ajabu sana Dr Slaa alipokua CHADEMA zito alikua hampendi akisema anatumia vibaya madaraka, leo akisikia kuna mtu anamkosoa Dr zito tena anamshambulia huyo mtu, kwasababu tu Dr kanunuliwa CCM basi kawa rafiki wa zito! sasa zito umesimama wapi? ujue unapoteza credibility yako...Wewe hufai hata kuwa Msimamizi wa mradi wa kuku kama ndo ulivyo ndumi la kuwili