Siasa za mishahara minono kwenye taasisi za Serikali zinavyoharibu ndoto za vijana wengi wa Kitanzania

kwasababu GPA yako ni kubwa:cool::cool: ni nlipata 2.4
Kitu gani kilikufanya ushindwe kupata First Class, Mbona mambo rahisi sana sana

Sasa kama ulishindwa kupata First Class utaweza elewa ukitumwa Training na ofisi Canada au Spain?

Kama mambo madogo ya darasani yalikushinda nani atakuamini kwa mambo makubwa?
 
Kitu gani kilikufanya ushindwe kupata First Class, Mbona mambo rahisi sana sana

Sasa kama ulishindwa kupata First Class utaweza elewa ukitumwa Training na ofisi Canada au Spain?

Kama mambo madogo ya darasani yalikushinda nani atakuamini kwa mambo makubwa?
Wakati naitwa kufanya interview (maana sikupigiwa simu nikiwa chuoni kama wewe) niliktana na hao wa GPA kama zako nikawadondosha. Sihitaji GPA kufanya kazi yangu maana mambo mengi ni ya kitaalamu na hayahitaji tena elimu ya darasani, nyie wakufunzi hiyo inawatosha inabidi mji-update kila mara
 
Wakati naitwa kufanya interview (maana sikupigiwa simu nikiwa chuoni kama wewe) niliktana na hao wa GPA kama zako nikawadondosha. Sihitaji GPA kufanya kazi yangu maana mambo mengi ni ya kitaalamu na hayahitaji tena elimu ya darasani, nyie wakufunzi hiyo inawatosha inabidi mji-update kila mara
Mimi mtu mzima niji update mambo ya darasani ili nipate kitu gani kwenye maisha

Zaidi Nipo na mtu niliyefunga nae pingu za maisha tunafanya ujinga ujinga wetu weekend na Kukumbushana ujana wetu tulivyokuwa tunafumaniana basi

Never Complicate life, Maisha ni haya Haya, Hakuna habari za Kesho

Ishi kama vile kesho haipo, Jipe Furaha na Raha kamwe USIJILINGANISHE na mtu yeyote

Mleta uzi ametoa onyo kwa vijana kujilinganisha na maisha ya Wakurugenzi wa taasisi

Uzi mzuri sana na umeeleweka vizuri wenye masikio na uzoefu tunamuunga mkono mleta uzi

Kula bata mkuu, Kula maisha
 
Mtaongea yote lakini hapo kuna 21% za ajira huwa ni za wazanzibar, iwe ni BoT,Nhc, Nssf, Tanroands, Tanapa, n.k 😜😜
 
Huyo mtu anaeleta mambo ya gpa naona bado yupo chuoni 😂😂

Maliza chuo kwanza mkuu uone uhalisia.

Kazi pekee zinazohitaji gpa ni kuwa ma lecturer au researchers.

Huko Bot, Tra, Bandarini, Pssf, Nhc, Tanapa, n.k wapo kibao tu wana gpa hata za gentleman,
 
Wakati naitwa kufanya interview (maana sikupigiwa simu nikiwa chuoni kama wewe) niliktana na hao wa GPA kama zako nikawadondosha. Sihitaji GPA kufanya kazi yangu maana mambo mengi ni ya kitaalamu na hayahitaji tena elimu ya darasani, nyie wakufunzi hiyo inawatosha inabidi mji-update kila mara
Ahaaa, Nimeipenda mwenyewe Ndindi

Acha waisome namba aaaaaa hhhh

Waisome namba

........ mbele kwa mbele

mbele kwa mbele...........
.
 
Kuna ukweli kidogo sn degree holder anayeanza kazi halmshauri kama HR anaanza na 720,000 lakini HR huyo huyo mwenye degree anayeanza kazi siku moja NSSF anaanza na 1,840,000 nje na posho, mtu anaingia kama dereva NHIF anapata mkopo wa hadi 50M lakini mtu mwenye masters halmashauri anayeanza kazi tofauti na mkuu wa idara anaweza kukopesha hadi milioni 10 tu? Wewe huoni kama kuna tatizo hapo? bado huyo ana posho kibao, tukubali kuna tatizo kubwa sn hapa.
Acha waisome namba Ahaaaa waisome namba
 
Mimi mtu mzima niji update mambo ya darasani ili nipate kitu gani kwenye maisha

Zaidi Nipo na mtu niliyefunga nae pingu za maisha tunafanya ujinga ujinga wetu weekend na Kukumbushana ujana wetu tulivyokuwa tunafumaniana basi

Never Complicate life, Maisha ni haya Haya, Hakuna habari za Kesho

Ishi kama vile kesho haipo, Jipe Furaha na Raha kamwe USIJILINGANISHE na mtu yeyote

Mleta uzi ametoa onyo kwa vijana kujilinganisha na maisha ya Wakurugenzi wa taasisi

Uzi mzuri sana na umeeleweka vizuri wenye masikio na uzoefu tunamuunga mkono mleta uzi

Kula bata mkuu, Kula maisha
Ubarikiwe mkuu
 
GPA kubwa na umeajiriwa na unatumwa na bado unajisifu ati intelligent 😬😬😬 mzungu alituchenga hapa tu
 
Kuna ukweli kidogo sn degree holder anayeanza kazi halmshauri kama HR anaanza na 720,000 lakini HR huyo huyo mwenye degree anayeanza kazi siku moja NSSF anaanza na 1,840,000 nje na posho, mtu anaingia kama dereva NHIF anapata mkopo wa hadi 50M lakini mtu mwenye masters halmashauri anayeanza kazi tofauti na mkuu wa idara anaweza kukopesha hadi milioni 10 tu? Wewe huoni kama kuna tatizo hapo? bado huyo ana posho kibao, tukubali kuna tatizo kubwa sn hapa.
Mishahara minono ipo!

Inategemea na unaanza kazi wapi yani😂 na ndio maana vijana wanakomalia mashirika makubwa kama huko NSSF au PSSSF maana kwa rank hio hio ukibadilishiwa ofisi unaweza ukarudi kwenye mshahara wa laki 7!

Mhasibu mwenye CPA akiwa NSSF hawezi kulipwa sawa na mhasibu wa halmashauri au mhasibu wa ofisi ya RAS! Kuna ofisi ukijitambulisha tu kuwa unafanya huko kazi basi direct watu wanaelewa kuwa una ahueni ya maisha! Wewe njaa tena itakuwa sio swala katika maisha yako!
 
Mimi ninaofanya nao kazi hakuna mwenye GPA chini ya 4.5

Sisi tulikuwa tunaajiriwa toka University moja kwa moja, Tunapigiwa simu na Chuo

Hata kazi za juzi ambazo watu inabidi wafanye Aptitude wengi wana GPA zaidi ya 4.0

Matokeo yao pia ya Sekondari ni mazuri sana sana yanavutia sana sana labda washindwe interview

Wakati watu wanasoma mliiwaita wametumwa na vijiji, Wanalipwa pesa Mnalalamika

Sasa mwenye GPA ya 4.8 alipwe sawa na wewe mwenye GPA chini ya 4.0?

Hata kama mtu alibebwa lakini na yeye anabebeka pia
ninachojifunza hapa kuwa wengi hatuna uelewa na maswala ya kazi.ajira haiangalii wewe una GPA gani bali wanachoangalia ni uelewa wako ktk kazi.kuna watu wana GPA za juu lkn hawaperform.tuna vijana wengi sana wana sifa za juu lkn ukiwaweka kwenye kazi almost is zero.huwezi fananisha taaluma na utendaji kazi.ukimchukua just a form ukampa coaching anaweza kuwa mzuri kuliko graduate.
 
Mishahara minono ipo!

Inategemea na unaanza kazi wapi yani😂 na ndio maana vijana wanakomalia mashirika makubwa kama huko NSSF au PSSSF maana kwa rank hio hio ukibadilishiwa ofisi unaweza ukarudi kwenye mshahara wa laki 7!

Mhasibu mwenye CPA akiwa NSSF hawezi kulipwa sawa na mhasibu wa halmashauri au mhasibu wa ofisi ya RAS! Kuna ofisi ukijitambulisha tu kuwa unafanya huko kazi basi direct watu wanaelewa kuwa una ahueni ya maisha! Wewe njaa tena itakuwa sio swala katika maisha yako!
Sahihi comrade
 
Hata kama sina ninachojua lakini kwanini nafanya kazi hapa na wewe kwanini upo huko Unalia lia

Kila mtu na bahati yake pia, Wewe huna bahati ya kuhama

Ungeku
Acha utapeli mimi huwezi kunipa connection wala sijaajiriwa brother tuheshimiane mwenyewe nimezoea kuhangaika kitaa, kwa ujinga wako ulisema wote waliopo huko wana GPA sijui ya 4.5 sasahivi umegeukia connection mara nije PM unataka kunipiga mizinga, sitapeliki brother endelea na connection zako mie nabaki na ujasiriamali wangu unanitosha sihitaji tena ajira zenu labda ubunge na urais vyeo vingine sihitaji hata kwa dawa.
 
Mimi mpaka sasa kwa umri wangu huu sijawahi ona mtu anafanya kazi Halmashauri ana GPA ya 5.0 au hata 4.5
Nipo Halmashauri moja wapo nchini....

Idara yangu tupo wa 3
Mimi Nina GPA ya 4.2, wa chini yangu Wana 4.5 na 3.8

Kabla ya hapo tulikuwa wa 4.
Mmoja mwenye 3.9 kahamia chuo kwenda kuwa Lecturer.

HIVYO NAKUPINGA YOTEE ULIYOONGEA.

#YNWA
 
Mimi ninaofanya nao kazi hakuna mwenye GPA chini ya 4.5

Sisi tulikuwa tunaajiriwa toka University moja kwa moja, Tunapigiwa simu na Chuo

Hata kazi za juzi ambazo watu inabidi wafanye Aptitude wengi wana GPA zaidi ya 4.0

Matokeo yao pia ya Sekondari ni mazuri sana sana yanavutia sana sana labda washindwe interview

Wakati watu wanasoma mliiwaita wametumwa na vijiji, Wanalipwa pesa Mnalalamika

Sasa mwenye GPA ya 4.8 alipwe sawa na wewe mwenye GPA chini ya 4.0?

Hata kama mtu alibebwa lakini na yeye anabebeka pia

Mimi nipo Halmashauri na form 4 nilipata Divi 1.12 yenye A ya Physics, Maths, na Biology.

HIVYO NAKUPINGA YOTEEE.

#YNWA
 
Back
Top Bottom