Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 40,092
- 33,644
Gentleman,Nimeshangaa kwenye mechi ya Serengeti boys na Senegal watu wanaimba nyimbo za kumsifia mama!
Upande wa Senegal hawakuwa wakimuimba Rais wao Faye na wameshinda, Kenya huwa wanafanya vizuri sana kwenye michezo mingi duniani lakini huwezi kusikia wakiimba nyumba za kumsifu Uhuru au Ruto, DRC Congo pamoja na kuwa wanafanya vizuri zaidi kuliko sisi sijawahi kusikia wakiingiza siasa za kusifia watawala viwanjani, Timu za Africa zitakazocheza kombe la dunia huwezi kuona haya mambo.
Kwa nini Tanzania imekuwa tofauti hivi na nchi nyingine zote Africa?
Hii ni mojawapo ya legacy mbaya na za hovyo sana za utawala wa JK, tunakuwa kama mazombi, retards na washamba huko duniani.
kinachotekelezwa hivi sasa na serikali sikivu ya CCM kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, ni ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030.
Na,
msimamozi mkuu wa utekelezaji wa vipaumbele vya ilani hiyo ikiwa ni pamoja na sekta ya michezo ni Rais Dr.Samia Suluhu Hassan, kupitia wateule wake eneo hilo.
Unakwepaje kumtaja Dr Samia Suluhu Hassan katika maendeleo ya wananchi kijamii, kisiasa na kiuchumi?🐒