Siasa za kilaghai za Polepole: Awamu ya Nne aliunga mkono Katiba Mpya; Awamu ya Tano alikataa, Awamu ya Sita anaitaka kwa gia ya Shule ya Uongozi

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,980
20,627
Huu ulaghai wa hali ya juu unaofanywa na Polepole, alikuwa anapinga katiba mpya enzi ya mwendazake, alitumia muda mwingi kukata viuno akicheza mabolingo huku akijirekodi katika camera, alishuhudia na akawa sehemu ya tawala ya hovyo kabisa katika historia ya nchi hii,alikuwa sehemu ya tawala katili ya kiuwaji isiyojali demokrasia wala haki. Eti leo anahubiri shule ya uongozi.

Anatembea na jina la Rais wake mfukoni akiwa hana imani na Samia, anatembea huku nakule akishawishi wana CCM wamkubali mtu wake kisa alifanya kazi na JPM, na HPP alikuwa sehemu ya walioshinikiza SSH asichukue mamlaka, Mwenzie wa Kemondo katulia,yeye bado anaipima mamlaka ya nyumba kubwa, mamlaka ijibu mapigo kwa ukali wote

Namshauri huyo anayejazwa upepo na HPP asijiingize mkenge,ataisoma namba
 
Hata km mnamchukia sikilizeni mawazo yake
Haka kajamaa KANAFIKI SANA. Ni KACHUMIATUMBO KAJASIRIASIASA.
Watu ktk kundi hili walifanikiwa kuteka akili za JPM. Hayupo sasa!
Rais SSH asipowachunga wataisumbua sana Serikali yake.
Hilo darasa analodai la uongozi sijui anamfundisha nani. Political economics?! Hayo masomo wanasoma watu wenye IQ ndogo za chini. Ni masomo unayoweza kuhitimu hadi PhD ukiwa kitandani umelala, au, unasoma huku ukiwa unakunywa pombe.
 
Haka kajamaa KANAFIKI SANA. Ni KACHUMIATUMBO KAJASIRIASIASA.
Watu ktk kundi hili walifanikiwa kuteka akili za JPM. Hayupo sasa!
Rais SSH asipowachunga wataisumbua sana Serikali yake.
Hilo darasa analodai la uongozi sijui anamfundisha nani. Political economics?! Hayo masomo wanasoma watu wenye IQ ndogo za chini. Ni masomo unayoweza kuhitimu hadi PhD ukiwa kitandani umelala, au, unasoma huku ukiwa unakunywa pombe.
Bila kujua kupitia andiko lako ...ndio unajifunua na kuonekana Kama una IQ Ndogo,laabda pengine huelewi maaana ya Political Economics....wewe.mzungumzie Polepole ...!
Hivi unajua Dunia inavyo3 deshwa na kutawaliwa.....😊😊
Mitandao ya kijamii imeleta shida Sana ...kila mru no Mtaalam wa kila kitu!
Ujinga,Upumbavu wa Polepole usikufanye na wewe kuwa mjinga!
 
Haka kajamaa KANAFIKI SANA. Ni KACHUMIATUMBO KAJASIRIASIASA.
Watu ktk kundi hili walifanikiwa kuteka akili za JPM. Hayupo sasa!
Rais SSH asipowachunga wataisumbua sana Serikali yake.
Hilo darasa analodai la uongozi sijui anamfundisha nani. Political economics?! Hayo masomo wanasoma watu wenye IQ ndogo za chini. Ni masomo unayoweza kuhitimu hadi PhD ukiwa kitandani umelala, au, unasoma huku ukiwa unakunywa pombe.
Hapa umepotea. Political economics siyo yale masomo ya kusoma darasani vyuoni. Hii ni Sayansi inayobalance siasa na uchumi wa nchi Si ajabu viongozi wetu wengi wa kitaifa wanafeli kupeleka nchi mbele kiuchumi huku wakipractice siasa safi. Ni kwa sababu hawana taaluma hii. Badala yake wanaona wapinzani ni maadui wakilalamika waziwazi kuwa 'wapinzani wametuchelewesha sana'. Watawala wa ajabu sana.
 
Kama ccm walimfuta uanachama Membe kwa kutaka kuinusuru nchi isitawaliwe na kichaa, iweje huyu mwehu Polepole mpaka leo hajafutwa uanachama?

Kwakweli Chifu Hangaya ni mstaamilivu sana, takataka kama hii Polepole saa nyingi tu ilitakiwa aifutilie mbali.
 
HPP Hana consistency ,kwa hiyo ni vigumu kujua anasimamia nini,anayumba barabarani, waafuasi wake wengi wanashindwa kumuelewa.
Kuhusu utaratibu,kipindi cha Tanzania na Uongozi kinafadhiliwa na nani ? au HPP analipia kipindi hiki mwenyewe kutoka mfukoni mwake na kwa malengo gani?.
HPP ana Kinyongo Cha kuondolewa nafasi ya Katibu Mwenezi CCM au kuondokewa na Mwendazake ambaye alimuona Kama Mungu Mtu.?
Na kazi iendelee
 
Huu ulaghai wa hali ya juu unaofanywa na Polepole, alikuwa anapinga katiba mpya enzi ya mwendazake, alitumia muda mwingi kukata viuno akicheza mabolingo huku akijirekodi katika camera, alishuhudia na akawa sehemu ya tawala ya hovyo kabisa katika historia ya nchi hii,alikuwa sehemu ya tawala katili ya kiuwaji isiyojali demokrasia wala haki. Eti leo anahubiri shule ya uongozi.

Anatembea na jina la Rais wake mfukoni akiwa hana imani na Samia, anatembea huku nakule akishawishi wana CCM wamkubali mtu wake kisa alifanya kazi na JPM, na HPP alikuwa sehemu ya walioshinikiza SSH asichukue mamlaka, Mwenzie wa Kemondo katulia,yeye bado anaipima mamlaka ya nyumba kubwa, mamlaka ijibu mapigo kwa ukali wote

Namshauri huyo anayejazwa upepo na HPP asijiingize mkenge,ataisoma namba
Ni kwanini wanasiasa Afrika wakishaingia katika nafasi fulani hawataki kutoka na kwenda kuanzisha ujasiriamali kama wanavyowaambia vijana wajiajiri kwa ujasiriamali? Afrika kuendelea ni ndoto kubwa
 
Back
Top Bottom