t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 6,335
- 14,643
Ni ajabu kwa katiba yetu ! Huko duniani kwenye katiba za maslahi ya wanachi sio ajabu...Kenyatta ni bangi kwelikweli.
..Ni ajabu kwa Raisi anayetoka madarakani kutokumuunga mkono makamu wake ambaye anayejaribu kuwa Raisi.
Uhuru ana practice the best of their constitution, ! Freedom, ! Huku kwetu move kama hiyo haiwezekani
Caged birds , think that flying is an illness!