MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
Jaribu kufuatilia habari kijana.Tanzania hatuwezi kuwa na vita ya ukabila kwa sababu tuna makabila mengi sana pengine kuliko nchi yoyote Africa .
Tanzania ina makabila yasiyozidi 130,. Congo DRC ina makabila 680. Mali ina makabila 720. Ivory Coast ina makabila 350. Kwahiyo usilishwe pumba na media za CCM kwamba Tanzania ina makabila mengi kuliko nchi zote barani Africa.