IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Ili upate tiketi wamesema uende na barua ya Mwenyekiti wa mtaa, au Passport au kitambulisho cha Taifa.... Kama una ugomvi na mwenyekiti wa mtaa ndo umekula kwako mazima...Hahahaha, binafsi napenda treni kwa ajiri ya kula bata tu , huwa nikifika Zambia napanda treni ya Tazara ,
Safari na bata mwanzo mwisho