Juma Bundala
Member
- Mar 9, 2012
- 71
- 5
Kawaida siasa inatakiwa kuwa na mabishano ya hoja,huyu anatoa hoja huyu anaipingi au kuibali kama ina masilahi kwa Taifa.Lakini kutokana na majungu,makundi na vijembe mtu akitoa hoja ya msingi atapingwa na kupigwa vijembe visivyo na kifani, mfano katika mchakato wa kutengeneza katiba mpya WABUNGE wa UPINZANI walipeleka mapendekezo kuhusu marekebisho ya katiba WALIKUBALIWA na MH RAIS kutokana na makundi yaliyopo ktk siasa za Bongo mapendekezo yaliyomengi yalipingwa na wabunge wa CHAMA TAWALA bila kujali umuhimu wa hoja hizo.
Ili tuwe na maendeleo endelevu hatuna budi kumaliza majungu,makundi na kuacha vijembe. SOURSE KIKAO CHA BUNGE KILICHOPITA Naomba kuwasilisha.
Ili tuwe na maendeleo endelevu hatuna budi kumaliza majungu,makundi na kuacha vijembe. SOURSE KIKAO CHA BUNGE KILICHOPITA Naomba kuwasilisha.