Wenye kujielewa, ila mazuzu wanaamini vinginevyo🤸.Watanzania wanajua Lisu 84%, JPM 13%. Formula ya Lubuva ni ngumu kuelewa. Inapinduaga meza ktk mazingira tata sana.
Wenye kujielewa, ila mazuzu wanaamini vinginevyo🤸.Watanzania wanajua Lisu 84%, JPM 13%. Formula ya Lubuva ni ngumu kuelewa. Inapinduaga meza ktk mazingira tata sana.
Tena mashina yawafurukutwa , wanaotende kulingana na zawadi zitokazo mhimili uliojizika zaidi🏋️.Kweli asee maana mahakama ni mashina ya CCM tupu
Nilianza kukuona mtu anaye tumia akili kumbe bado.Kuna wakati unajiuliza hivi wapinzani wanajua wanachokitaka? Hupati jibu kabisa.
Mzee Lowassa kwenye kampeni 2015 alikuwa anasimama jukwaani anasalimia kisha anarejea kitini pake lakini akapata 42% ya kura zote huku akiongoza kwa upande wa nchi ya Zanzibar.
Tundu Lisu akiwa ndiye mgombea pekee aliyezunguka nchi nzima uchaguzi mkuu wa 2020 huku hayati Magufuli akipita robo tu ya nchi lakini Lisu alipata 13% na Magufuli 84%
Siasa za Tanzania ni za kipekee kama ulivyo muungano.
Ngoja niendelee kufuatilia siasa za William Ruto kule Ukambani Kenya.
Mungu ni mwema!
Mzee unawajua wasiojulikana au huwa unaishia kuwasikia tu? nakuonea huruma et kwa kauli yako tata bwashe!Watanzania wanajua Lisu 84%, JPM 13%. Formula ya Lubuva ni ngumu kuelewa. Inapinduaga meza ktk mazingira tata sana.
Kuna Jamaa alimkejeli Lowassa kwa Push Up zake sijui Yuko wapi Siku hizi ila MUNGU ni FUNDIKuna wakati unajiuliza hivi wapinzani wanajua wanachokitaka? Hupati jibu kabisa.
Mzee Lowassa kwenye kampeni 2015 alikuwa anasimama jukwaani anasalimia kisha anarejea kitini pake lakini akapata 42% ya kura zote huku akiongoza kwa upande wa nchi ya Zanzibar.
Tundu Lisu akiwa ndiye mgombea pekee aliyezunguka nchi nzima uchaguzi mkuu wa 2020 huku hayati Magufuli akipita robo tu ya nchi lakini Lisu alipata 13% na Magufuli 84%
Siasa za Tanzania ni za kipekee kama ulivyo muungano.
Ngoja niendelee kufuatilia siasa za William Ruto kule Ukambani Kenya.
Mungu ni mwema!
SureTena mashina yawafurukutwa , wanaotende kulingana na zawadi zitokazo mhimili uliojizika zaidi🏋️.
Hata makaburu walitoa ulinganisho was mpambanaji Mandela na Gaidi.Lisu huwezi kumlinga na Lowassa hata kwa haiba tu, achilia mbali kwamba lisu alikuwa anapiga porojo tu, kulialia na kutukana majukwaani, hakuwa na sera zozote. Sasa ulitaka watu tuchague matusi badala ya ahadi za maendeleo zilizokuwa zinatolewa na JPM (Rip)?
Watu wangetuona sisi mazuzu.
Umestahili ulichokitafuta, safi Sana, dawa ya wote wenye maneno mbofumbofu. 🏋️Mbowe hachomoki kwenye hii kesi
Lazima wakalale kitanda kimoja na Sabaya kwa miaka 30
Watanzania kabisa? Wamchague Lissu awe Rais, aaaah, jamani, tuwe serious kidogo, hata kama tunawaona watz ni mazuzu, lakini si kwa kiasi hicho!!! KhaaaaaWatanzania wanajua Lisu 84%, JPM 13%. Formula ya Lubuva ni ngumu kuelewa. Inapinduaga meza ktk mazingira tata sana.
Hata wewe tunaweza kukuchagua kuwa kuongoza kaya.Watanzania kabisa? Wamchague Lissu awe Rais, aaaah, jamani, tuwe serious kidogo, hata kama tunawaona watz ni mazuzu, lakini si kwa kiasi hicho!!! Khaaaaa
Ww ni mhamasishaj wa simba???Mbowe akikutwa na hatia hiyo kesi ya CPA cap 20 ya 2012 natembea uchi Kigoma hadi Tabora.
Simba sc inaingiaje hapa,utopolo mna fujo sanaUsije ukamwaga mbege kwa kilio manka.
Hata wakati wa Sugu mlisema hivi hivi.
Msiwe kama Simba SC kudharau mechi!
#TATIZO NI #REFA NA #WALINZI WA MPIRA WALE WA PGOTatizo Hotuba zake zilikuwa hazina Sera...Ila Muda Mwingi alikuwa ni Kulalamika na Kulaumu.
Sasa hapo watu Wakaona bora Kusalimiwa Kuliko Malalamiko..!