Hansen Nasli
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 883
- 337
Chama kinachoendesha siasa zake kwa kutegemea uongo na fitina hakika kitakufa kwa fitina na uongo huo huo,kilasiku ni kutafuta uongo wa kutunga na kinachosikitisha uongo huo unaongozwa na mtu alishawahi kuwa padre na mnafiki mwingine ambaye ni mchungaji anazunguka kusambaza fitina kwa akili yake fupi anajua anakilinda chama ili wakamilishe maslahi yao kumbe wanakibomoa maana watu wamechoka na uongo huo na sasa wanaamua kujidanganya wenyewe sasa,huyo mnayemtungia uongo na fitina ni mpango wa mungu yupo ndani ya moyo wa watanzania.
Na mtambue uongo hauishi maisha marefu kama ukweli jiandaeni kuficha sura zenu maana ukweli unazidi dhihirika
Na mtambue uongo hauishi maisha marefu kama ukweli jiandaeni kuficha sura zenu maana ukweli unazidi dhihirika