Kwanza niseme wazi, mimi ni kijana na mmoja wa waathirika wa siasa kwenye uvunaji wa miwa msimu huu, bonde la mto kilombero.
Week moja imepita tangu ekari zaidi ya 2000 za wakulima wa nje wa miwa ziungue kwa dharula katika maeneo ya Matambiko, ilundo, msindazi na ruhembe na kusababisha hasara ya zaidi ya Tsh 3billions.
Kawaida miwa ikiungua kwa dharula kuna mkataba baina ya muwekezaji ambaye ni Illovo sugar group na wakulima wa nje, kuwa wakulima watavuna miwa yao ila watakatwa asilimia 5% ya pato lao na muwekezaji mara nyingi kutokana na kuwa na vifaa vya kisasa usaidia wakulima kuvuna miwa na miwa ufikishwa kiwandani na tatizo husika umalizwa ka aina iyo.
Cha ajabu? Miwa imeungua this time, anakuja mkuu wa wilaya anasema miwa isivunwe na atakayevuna na kujaribu kupeleka kiwandani akamatwe, anakuja tena mkuu wa mkoa anakazia umo umo kwa kauli ya mkuu wa wilaya.
Kumbuka: jimbo husika lenye uo mgogoro ni la mikumi ambalo mbunge wake ni Proffesor jay.
Watu tunahoji: iweje mkuu wa wilaya na mkoa (serikali) iingilie zoezi ili la uvunaji wakati wao hawausiki?
2) Iweje serikali ikatae kusaidia wananchi wake masikini kuvuna na kupeleka kiwandani ili hali muwekezaji yuko tayali kusaidia wakulima? ( mzungu yuko tayali kusaidia mtu mweusi, serikali, mtu mweusi anakataaa mtu mweusi mwenzake asisaidiwe????)
3) Serikali iko kwa manufaaa ya nani?
Hoja ya serikali: Ni kwamba wananchi wanajichomea makusudi, inawezekana mwananchi mmoja amechoma makusudi, sawa lakini mtoto wako mmoja akikojolea mboga nyumbani kwako, wewe baba utanyima chakula nyumba nzima?
Kwanini wakulima wanajichomea moto: wakulima wanajichomea moto kwakuwa kwenye vyama vya wakulima kuna rushwa mno ya kuchomewa ili uchomewe kwa wakati lazima utoe rushwa, sasa wengine masikini hawana rushwa kwa ghadhabu uchoma ili wavuniwe sasa madhara yake ekari nyingi zaidi ambazo hazikukusudiwa kuungua zinaunguwa. Na ili sio tatizo la leo ili tatizo la miwa kuungua limekuwepo since miaka ya 1980 na kiwanda kusaidiana na wakulima upambana kulitatua tatizo husika.
Rushwa: ni kweli kwenye vyama vya wakulima wa miwa wa nje kumekuwa na rushwa sana kikiongozwa na RCGA chini ya mwenyekiti wake Madenyeka. Iki chama kimekuwa kikilamikiwa mno na wakulima cha ajabu aya matatizo ya rushwa serikali inatambua fika na bwana ushirika wa wilaya na mkoa wanayafumbia macho, hatujui kwanini? ( mjiongoze)
Turudi kwenye ili la uvunaji wa dharula hii:
sisi wengine ni wasomi wa kiwango cha degree tumekosa kazi, tumewekeza kwenye kilimo icho matokeo yake leo napoteza zaidi ya million 20 tena kwa kusubiri kwa mwaka mzima.
Tafakuri: Kwanini serikali ikataze tusivune na tusivunie wakati wewe hawatumii hata chembe ya gharama yao?
Muwekezaji yuko tayali kutusaidi iweje serikali kupitia mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa wanakataaa tusivunie wana agenda gani binafsi hawa watu?
Hawa viongozi wana mchafulia mheshimiwa John pombe magufuli katika sera zake za kilimo na hapa kazi tu.
Wananchi wa kilombero TUMEKUFA.
Week moja imepita tangu ekari zaidi ya 2000 za wakulima wa nje wa miwa ziungue kwa dharula katika maeneo ya Matambiko, ilundo, msindazi na ruhembe na kusababisha hasara ya zaidi ya Tsh 3billions.
Kawaida miwa ikiungua kwa dharula kuna mkataba baina ya muwekezaji ambaye ni Illovo sugar group na wakulima wa nje, kuwa wakulima watavuna miwa yao ila watakatwa asilimia 5% ya pato lao na muwekezaji mara nyingi kutokana na kuwa na vifaa vya kisasa usaidia wakulima kuvuna miwa na miwa ufikishwa kiwandani na tatizo husika umalizwa ka aina iyo.
Cha ajabu? Miwa imeungua this time, anakuja mkuu wa wilaya anasema miwa isivunwe na atakayevuna na kujaribu kupeleka kiwandani akamatwe, anakuja tena mkuu wa mkoa anakazia umo umo kwa kauli ya mkuu wa wilaya.
Kumbuka: jimbo husika lenye uo mgogoro ni la mikumi ambalo mbunge wake ni Proffesor jay.
Watu tunahoji: iweje mkuu wa wilaya na mkoa (serikali) iingilie zoezi ili la uvunaji wakati wao hawausiki?
2) Iweje serikali ikatae kusaidia wananchi wake masikini kuvuna na kupeleka kiwandani ili hali muwekezaji yuko tayali kusaidia wakulima? ( mzungu yuko tayali kusaidia mtu mweusi, serikali, mtu mweusi anakataaa mtu mweusi mwenzake asisaidiwe????)
3) Serikali iko kwa manufaaa ya nani?
Hoja ya serikali: Ni kwamba wananchi wanajichomea makusudi, inawezekana mwananchi mmoja amechoma makusudi, sawa lakini mtoto wako mmoja akikojolea mboga nyumbani kwako, wewe baba utanyima chakula nyumba nzima?
Kwanini wakulima wanajichomea moto: wakulima wanajichomea moto kwakuwa kwenye vyama vya wakulima kuna rushwa mno ya kuchomewa ili uchomewe kwa wakati lazima utoe rushwa, sasa wengine masikini hawana rushwa kwa ghadhabu uchoma ili wavuniwe sasa madhara yake ekari nyingi zaidi ambazo hazikukusudiwa kuungua zinaunguwa. Na ili sio tatizo la leo ili tatizo la miwa kuungua limekuwepo since miaka ya 1980 na kiwanda kusaidiana na wakulima upambana kulitatua tatizo husika.
Rushwa: ni kweli kwenye vyama vya wakulima wa miwa wa nje kumekuwa na rushwa sana kikiongozwa na RCGA chini ya mwenyekiti wake Madenyeka. Iki chama kimekuwa kikilamikiwa mno na wakulima cha ajabu aya matatizo ya rushwa serikali inatambua fika na bwana ushirika wa wilaya na mkoa wanayafumbia macho, hatujui kwanini? ( mjiongoze)
Turudi kwenye ili la uvunaji wa dharula hii:
sisi wengine ni wasomi wa kiwango cha degree tumekosa kazi, tumewekeza kwenye kilimo icho matokeo yake leo napoteza zaidi ya million 20 tena kwa kusubiri kwa mwaka mzima.
Tafakuri: Kwanini serikali ikataze tusivune na tusivunie wakati wewe hawatumii hata chembe ya gharama yao?
Muwekezaji yuko tayali kutusaidi iweje serikali kupitia mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa wanakataaa tusivunie wana agenda gani binafsi hawa watu?
Hawa viongozi wana mchafulia mheshimiwa John pombe magufuli katika sera zake za kilimo na hapa kazi tu.
Wananchi wa kilombero TUMEKUFA.