The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,502
- 2,046
Nimejaribu kufanya tathimini fupi ya namna siasa za bara letu zinavyofanyika, inasikitisha kwamba msukumo mkubwa wa watu kuingia kwenye siasa ni njaa tu.
Nimejaribu kuangalia mataifa yaliyojaribu kubadili vyama, ukweli ni kwamba hakukuwa na jipya malalamiko ya wananchi yalibaki pale pale kama si kuongezeka.
Mifano ya nchi zilizochagua upinzani:
Malawi, Zambia, Kenya, Uganda nk.
Kwenye mataifa yote hayo walichagua upinzani kwa matumaini makubwa sana lakini upinzani uliposhika hatamu wananchi wakagundua wamedanganywa
Wito wangu tuchape kazi siasa ni ajira kuwashabikia sana wanasiasa kujitoa ufahamu ni kujidhalilisha.
Nimejaribu kuangalia mataifa yaliyojaribu kubadili vyama, ukweli ni kwamba hakukuwa na jipya malalamiko ya wananchi yalibaki pale pale kama si kuongezeka.
Mifano ya nchi zilizochagua upinzani:
Malawi, Zambia, Kenya, Uganda nk.
Kwenye mataifa yote hayo walichagua upinzani kwa matumaini makubwa sana lakini upinzani uliposhika hatamu wananchi wakagundua wamedanganywa
Wito wangu tuchape kazi siasa ni ajira kuwashabikia sana wanasiasa kujitoa ufahamu ni kujidhalilisha.