Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
Wakuu naombeni msaada ktk hili ili taratibu tuanze jifunza uchumi siasa wa bongo ili mambo mengine yasijekuwa ndio fashion.
Hivi ikitokea watu walioaminiwa kma mhasibu na mweka saini mwingine wakasepa na hela ya kampuni au kula vifaidaa fulani fulani, reaction ya kampuni ni kufunga account na kuchukua hela za kampuni.
Nani atakuwa na kosa hapa, ni bank au mfanyakazi?
Hivi ikitokea watu walioaminiwa kma mhasibu na mweka saini mwingine wakasepa na hela ya kampuni au kula vifaidaa fulani fulani, reaction ya kampuni ni kufunga account na kuchukua hela za kampuni.
Nani atakuwa na kosa hapa, ni bank au mfanyakazi?