barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Wewe bavicha inakuhusu nini?Siasa tunazoziona leo KENYA ni zilezile za Kikwete na LOWASSA Rutto alikuwa maarufu zaidi ya Kenyatta kwenye Siasa lakini akaombwa amsaidie ili apate miaka kumi na KENYATTA aje amsaidie nae kupata URAIS
Lakini leo hii Kenyatta anamgeuka na kumuunga mkono ODINGA HUKU AKISAHAU KWAMBA RUTO ALITUMIA NGUVU SANA NA PESA NYINGI KUMFANYIA KAMPENI HII NI SAWA na KIKWETE alivyomfanyia LOWASSA
MAANA aliyekuwa maarufu zaidi alikuwa Lowassa ila akakubali kurudi nyuma wakati huo wakiitwa BOYZ II MEN na kutumia nguvu nyingi sana akijua baada ya KIKWETE angefuata
Lakinj kwa roho ileile ya Kenyatta kikwete akamkataa lowassa na kumtaka MEMBE ugomvi wao ulizaa mpasuko ccm kama sio wazee chama kilitaka kumfia kikwete lakini zao lake tulikuja kupata VIONGOZI WASIOELEWEKA KATIKA NCHI YETU KINA BASHIRU KINA POLEPOLE KINA SABAYA KINA MAKONDA NA KUBWA ZAIDI TUKAPATA KIONGOZI DIKTETA
LAKINI KWA KENYA CHA TAWALA CHA JUBILEE KIMEKUFA BAADA YA KUWAPATA KINA MURATHE TUJU NA WENGINEO KUNA CHAKUJIFUNZA HAPA HASA KWA WANASIASA KUWA UNAFKI UNAWEZA KULITUMBUKIZA TAIFA KATIKA MACHAFUKO MAKUBWA SANA KENYA SASAHIVI RAIS NA MAKAMU WAKE HATA KUSALIMIA HAWASALIMIANI
LEO HII KIKWETE NA LOWASSA HATA KUKARIBISHANA NA WATOTO WAO KULA PAMOJA HAIWEZEKANI TENA