William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
- Natoa heshima kubwa sana hongera kwa Mheshimiwa MWenyekiti wa Chadema kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa, kwanza yeye na chama chake Chadema, waliikataa Serikali ya CCM baada ya uchaguzi na kuigomea, lakini haikuchukua muda mrefu sana wakagundua makosa makubwa sana waliyoyafanya na kwenda Ikulu, kumuomba Radhi Rais wa Jamhuri na hata kunywa naye vinywaji baridi vya Serikali ya CCM.
- Na sasa undugu na ushirikiano huo unazidi kudumishwa hapa leo, yeye na Waziri Mkuu wa Serikali ya CCM Mh. Pinda, na Mwenyekiti wa Chadema, kwa pamoja wameshirkiana kushiriki kwenye ,msiba wa Mke wa Mbunge wa Upinzani, Mheshimiwa Hamad Rashid, na hata kupiga picha ya pamoja, huu ni uuungwana na ni muhimu wananchi wote wakatambua kwamba siasa sio vita wala ugomvi!!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!
Le Mutuz!! THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA!!