Mbowe amesusa safari hii.!
Nadhani Hakualikwa NA kama ni hivyo, Hilo ni kosa kubwa, anastahili kualikwa kama kiongozi wa chama cha upinzani Kikubwa.
NA kama yeye ndiye aliye kataa mwaliko than he is wrong
Mbowe amesusa safari hii.!
Aah okey. SafiKijeremani
wote ccm
Historia itawahukumu huko tuendako. Hawana tofauti na wale walioihujumu TANU kipindi cha kutafuta ukombozi wa kweli wa nchi hii.Mrema nilomshuhudia kwa macho yangu akimpigia kampeni magu moshi,huyo mwengine eti skuiz anaitwa mwenyekiti ANAYETAMBULIKA NA MSAJILI.Hakuna cha ajabu hapo,ni sawa na kukuta ngedere kwenye sherehe ya ngedere
kwasababu wote ni CCMKwanini?