Siasa, Siasa, Siasa. Jamani tumechoka na threads za Siasa. Jukwaa la Siasa LIFUNGWE?

Je Jukwaa la siasa

  • Lifungwe

    Votes: 4 19.0%
  • LiSifungwe

    Votes: 14 66.7%
  • Lirekebishwe

    Votes: 3 14.3%

  • Total voters
    21

Allah's Slave

JF-Expert Member
Mar 14, 2008
562
45
Siasa, Siasa, Siasa. Jamani tumechoka na threads za Siasa. Jukwaa la Siasa LIFUNGWE

Nimekuwa nikifuatilia jukwaa la siasa kwa muda sasa na nimeshindwa kuvumilia. Limejaa uzushi, uongo, upuuzi na habari za kusingizia viongozi wetu. Pia nimegundua kuwa halina faida maana tunachoona hapa ni mashambulio na maelezo ya upande mmoja tu. Sidhani kama Kikwete, Lowasa, Mbowe na wengine mnaowasakama hapa watakuja kujitetea hapa. Sasa nawauliza ndugu zangu faida ya jukwaa la siasa ni nini? Hakuna elimu yeyote inayopatikana kutoka kwenye jukwaa hili. Section ya Dini/Imaan na nyinginezo ndio zibaki maana baki ya kutuelimisha ina present maelezo yaliyokuwa balanced. Wenye dini mbali mbali wanatetea wanachoamini.

Jukwaa la siasa halina faida baki ya kashfa za viongozi wetu na mimi nashauri lifungwe. Embu jiulizeni mara ya mwisho kiongozi kawekwa humu ili asifiwe ni lini? Kuto habari za upande mmoja ni uonezi kwao. Kama jukwaa hili halifungwi lisimamishwe hadi hapo Kikwete, Lowasa, Mbowe na wengine mnaowasakama humu ndani wateue watu wa kuwawakilisha.

Pia nimeshuhudia matusi kwenye jukwaa hili la siasa juzi tu. Matusi ambayo huwezi kuyakuta kwenye jukwaa lingine lolote lililomo hapa JF.

In addition to that, Ability ya kila mtu kuweza kuanzisha thread (Kumwaga shutuma zake kwa viongozi) iangaliwe upya. Hoja zinazoletwa nyingi ni za uongo mtupu na hata zikiwa za kweli mada huwa inapindishwa half way through na kugeuzwa kuwa ya kizushi.


(Mods nimeshindwa kuweka Polls naomba Unisaidie watu tupige kura)
Chaguo ni je Jukwaa la siasa lifungwe, lisifungwe, lirekebishwe?
 
Siasa, Siasa, Siasa. Jamani tumechoka na threads za Siasa. Jukwaa la Siasa LIFUNGWE

Nimekuwa nikifuatilia jukwaa la siasa kwa muda sasa na nimeshindwa kuvumilia. Limejaa uzushi, uongo, upuuzi na habari za kusingizia viongozi wetu. Pia nimegundua kuwa halina faida maana tunachoona hapa ni mashambulio na maelezo ya upande mmoja tu. Sidhani kama Kikwete, Lowasa, Mbowe na wengine mnaowasakama hapa watakuja kujitetea hapa. Sasa nawauliza ndugu zangu faida ya jukwaa la siasa ni nini? Hakuna elimu yeyote inayopatikana kutoka kwenye jukwaa hili. Section ya Dini/Imaan na nyinginezo ndio zibaki maana baki ya kutuelimisha ina present maelezo yaliyokuwa balanced. Wenye dini mbali mbali wanatetea wanachoamini.

Jukwaa la siasa halina faida baki ya kashfa za viongozi wetu na mimi nashauri lifungwe. Embu jiulizeni mara ya mwisho kiongozi kawekwa humu ili asifiwe ni lini? Kuto habari za upande mmoja ni uonezi kwao. Kama jukwaa hili halifungwi lisimamishwe hadi hapo Kikwete, Lowasa, Mbowe na wengine mnaowasakama humu ndani wateue watu wa kuwawakilisha.

Pia nimeshuhudia matusi kwenye jukwaa hili la siasa juzi tu. Matusi ambayo huwezi kuyakuta kwenye jukwaa lingine lolote lililomo hapa JF.

In addition to that, Ability ya kila mtu kuweza kuanzisha thread (Kumwaga shutuma zake kwa viongozi) iangaliwe upya. Hoja zinazoletwa nyingi ni za uongo mtupu na hata zikiwa za kweli mada huwa inapindishwa half way through na kugeuzwa kuwa ya kizushi.


(Mods nimeshindwa kuweka Polls naomba Unisaidie watu tupige kura)
Chaguo ni je Jukwaa la siasa lifungwe, lisifungwe, lirekebishwe?


Kama umechoka wewe anza .Umetukuta na umekuja na viroja na vioja ukaacha hoja naona sasa una surrender so tupo tu sisi .Endelea tuache .
 
Kama umechoka wewe anza .Umetukuta na umekuja na viroja na vioja ukaacha hoja naona sasa una surrender so tupo tu sisi .Endelea tuache .

Soma maelezo sio unakurupuka tu. Jamani watanzania tukubali kukoselewa.
 
Kama umechoka wewe anza .Umetukuta na umekuja na viroja na vioja ukaacha hoja naona sasa una surrender so tupo tu sisi .Endelea tuache .

Hapati waumini wakutosha katika huduma yake ya kuhubiri dini yake na kukashfu dini zingine. Hana uzalendo kabisa bali udini. Samahani Mtumwa wa Alla, tuache tuendelee kulikomboa Taifa letu.

Knowing a problem is a half solved, tatizo la nchi yetu ni siasa na ufisadi.

read my signature bellow.
 
JF kila siku inaibuka na vijimambo, hivi ndugu kuna mtu kakushikia bastola kwamba lazima usome haya yaliyopo kwenye thread ya siasa? Wewe ukiona thread inakukera, nenda kwenye nyingine zipo kibao. Halafu, ukiona JF nzima inakukifu, wewe fungasha virago hamna hata mtu atakuuliza kitu.

Unfortunately, If you are bored with politics, you are atually bored with life!
 
Siasa, Siasa, Siasa. Jamani tumechoka na threads za Siasa. Jukwaa la Siasa LIFUNGWE

Nimekuwa nikifuatilia jukwaa la siasa kwa muda sasa na nimeshindwa kuvumilia. Limejaa uzushi, uongo, upuuzi na habari za kusingizia viongozi wetu. Pia nimegundua kuwa halina faida maana tunachoona hapa ni mashambulio na maelezo ya upande mmoja tu. Sidhani kama Kikwete, Lowasa, Mbowe na wengine mnaowasakama hapa watakuja kujitetea hapa. Sasa nawauliza ndugu zangu faida ya jukwaa la siasa ni nini? Hakuna elimu yeyote inayopatikana kutoka kwenye jukwaa hili. Section ya Dini/Imaan na nyinginezo ndio zibaki maana baki ya kutuelimisha ina present maelezo yaliyokuwa balanced. Wenye dini mbali mbali wanatetea wanachoamini.

Jukwaa la siasa halina faida baki ya kashfa za viongozi wetu na mimi nashauri lifungwe. Embu jiulizeni mara ya mwisho kiongozi kawekwa humu ili asifiwe ni lini? Kuto habari za upande mmoja ni uonezi kwao. Kama jukwaa hili halifungwi lisimamishwe hadi hapo Kikwete, Lowasa, Mbowe na wengine mnaowasakama humu ndani wateue watu wa kuwawakilisha.

Pia nimeshuhudia matusi kwenye jukwaa hili la siasa juzi tu. Matusi ambayo huwezi kuyakuta kwenye jukwaa lingine lolote lililomo hapa JF.

In addition to that, Ability ya kila mtu kuweza kuanzisha thread (Kumwaga shutuma zake kwa viongozi) iangaliwe upya. Hoja zinazoletwa nyingi ni za uongo mtupu na hata zikiwa za kweli mada huwa inapindishwa half way through na kugeuzwa kuwa ya kizushi.


(Mods nimeshindwa kuweka Polls naomba Unisaidie watu tupige kura)
Chaguo ni je Jukwaa la siasa lifungwe, lisifungwe, lirekebishwe?

Sheikh Misikiti haikutoshi kutangaza dini huko? Ama unataka uendeleze kukashfu dini za wenzako kupitia JF? kama ufanyavyo tumekushtukia umeikuta JF tuachie ama azinzisha ya kwako DINI FORUM ushauri tu maalimu
 
Soma maelezo sio unakurupuka tu. Jamani watanzania tukubali kukoselewa.

We nani wa kutuambia nini tusome,tusisome au nini tuchangie au tusichangie!!
Ni kazi kwako ukiona udaku usiokufaa "ACHA KUSOMA" na "KUCHANGIA"
Ninakubaliana na nawe kuwa kuna habari zingine nizakijinga, lakini hulazimishwi kuzisoma wala kuchangia.
Hatuwezi kufunga thread ya siasa kwa sababu kuna watu kwa makusudi wanaleta habari za kijinga ili kuwaondoa watu katika hoja za msingi NA KUIDHARAULISHA JF.
 
We nani wa kutuambia nini tusome,tusisome au nini tuchangie au tusichangie!!
Ni kazi kwako ukiona udaku usiokufaa "ACHA KUSOMA" na "KUCHANGIA"
Ninakubaliana na nawe kuwa kuna habari zingine nizakijinga, lakini hulazimishwi kuzisoma wala kuchangia.
Hatuwezi kufunga thread ya siasa kwa sababu kuna watu kwa makusudi wanaleta habari za kijinga ili kuwaondoa watu katika hoja za msingi NA KUIDHARAULISHA JF.


In that case basi jukwaa lirekebishwe ili threads zichujwe na mods kabla ya kuja hapa. Za kijinga zisifike.
 
FUNGASHA VIRAGO..... HUJASHIKIWA KWA GUNDI HAPA JAMBO FORUM....

Kama ni hivyo basi tusikosoane. Kuanzia leo yeyote anayeshauri kuwa Section nyingine ya JF imejaa pumba afungashe virago na asisome. Tusisikie watu wanalalamika kuwa section fulani imejaa kashfa tena. Maana either wasome au wasisome.
 
In that case basi jukwaa lirekebishwe ili threads zichujwe na mods kabla ya kuja hapa. Za kijinga zisifike.

Una hubiri sijui au ushetani maana unaanza kwa kashfa kusema nakurupuka .Mie nimepinga mawazo yako na wengi wamekupinga , unarudi tena unasema posts zichujwe na na kijinga zisifike hapa .Haya mambo yako huko CCM mnachujana kwa majungu kabla ya kuja nje , mambo na mawazo ya aina yako China , Iran, Zimbwabwe kwa Mugabe, Saudi Arabia , Venezuela na si hapa JF.Ama fyata fuata mambo yetu ama nenda darhowire au fika kwa michuzi .Otherise funika kopo.
 
Siasa, Siasa, Siasa. Jamani tumechoka na threads za Siasa. Jukwaa la Siasa LIFUNGWE

Nimekuwa nikifuatilia jukwaa la siasa kwa muda sasa na nimeshindwa kuvumilia. Limejaa uzushi, uongo, upuuzi na habari za kusingizia viongozi wetu. Pia nimegundua kuwa halina faida maana tunachoona hapa ni mashambulio na maelezo ya upande mmoja tu. Sidhani kama Kikwete, Lowasa, Mbowe na wengine mnaowasakama hapa watakuja kujitetea hapa. Sasa nawauliza ndugu zangu faida ya jukwaa la siasa ni nini? Hakuna elimu yeyote inayopatikana kutoka kwenye jukwaa hili. Section ya Dini/Imaan na nyinginezo ndio zibaki maana baki ya kutuelimisha ina present maelezo yaliyokuwa balanced. Wenye dini mbali mbali wanatetea wanachoamini.

Jukwaa la siasa halina faida baki ya kashfa za viongozi wetu na mimi nashauri lifungwe. Embu jiulizeni mara ya mwisho kiongozi kawekwa humu ili asifiwe ni lini? Kuto habari za upande mmoja ni uonezi kwao. Kama jukwaa hili halifungwi lisimamishwe hadi hapo Kikwete, Lowasa, Mbowe na wengine mnaowasakama humu ndani wateue watu wa kuwawakilisha.

Pia nimeshuhudia matusi kwenye jukwaa hili la siasa juzi tu. Matusi ambayo huwezi kuyakuta kwenye jukwaa lingine lolote lililomo hapa JF.

In addition to that, Ability ya kila mtu kuweza kuanzisha thread (Kumwaga shutuma zake kwa viongozi) iangaliwe upya. Hoja zinazoletwa nyingi ni za uongo mtupu na hata zikiwa za kweli mada huwa inapindishwa half way through na kugeuzwa kuwa ya kizushi.


(Mods nimeshindwa kuweka Polls naomba Unisaidie watu tupige kura)
Chaguo ni je Jukwaa la siasa lifungwe, lisifungwe, lirekebishwe?

Allah's Slave

Join Date: Fri Mar 2008
Posts: 138


2ik5rmt.gif
 
Una hubiri sijui au ushetani maana unaanza kwa kashfa kusema nakurupuka .Mie nimepinga mawazo yako na wengi wamekupinga , unarudi tena unasema posts zichujwe na na kijinga zisifike hapa .Haya mambo yako huko CCM mnachujana kwa majungu kabla ya kuja nje , mambo na mawazo ya aina yako China , Iran, Zimbwabwe kwa Mugabe, Saudi Arabia , Venezuela na si hapa JF.Ama fyata fuata mambo yetu ama nenda darhowire au fika kwa michuzi .Otherise funika kopo.

Mzee Lunyungu,
Nimecheka saana, najua kijana kaja vibaya ila muhurumie kiasi. Hajazoea mambo na utamu wa uhuru uliopo hapa JF.Kishazoea mambo ya kiimla.Mie mwenyewe niliposoma hoja yake mzuka ulinipanda.Ila nadhani ujumbe umefika.
 
Mtumwa,

una siku si zaidi ya 30 hapa JF na mara umechoshwa na thread za siasa?

Ndiyo nyie akina Ghadaffi mnaosema hakuna haja ya vyama vingi, hakuna haja ya presidential terms, na hamna uvumilivu wa jambo lolote hata mnaloliamini! nahisi hata baada ya politics utataka za michezo zifutwe, na baadaye za vibweka zifutwe!

Alisema kweli aliyesema mpumbavu huongea zaidi ya anayoyajua, bali mwenye busara huongea machache kuliko anayoyajua!
 
NI rahisi sana kwa watu kupotezwa focus... ushauri wa DrWho hapo juu ndilo pendekezo ambalo angeachiwa kulifanyia kazi.
 
Mtumwa,

una siku si zaidi ya 30 hapa JF na mara umechoshwa na thread za siasa?

Ndiyo nyie akina Ghadaffi mnaosema hakuna haja ya vyama vingi, hakuna haja ya presidential terms, na hamna uvumilivu wa jambo lolote hata mnaloliamini! nahisi hata baada ya politics utataka za michezo zifutwe, na baadaye za vibweka zifutwe!

Alisema kweli aliyesema mpumbavu huongea zaidi ya anayoyajua, bali mwenye busara huongea machache kuliko anayoyajua!

Hivi mnaloongeambona halina ukweli? Angalieni polls zinasemaje. Wengi wanataka jukwaa lirekebishwe. Sasa nyinyi mmkeakazania hoja yangu haifai. Unaweza kukuta hoja yangu ikasaidia kuleta mabadiliko kwenye jukwaa hili na likawa zuri zaidi ya hapa. Votes zinaonyesha tofauti. Kinachotakiwa kijadiliwe sasa tunalirekebisha vipi jukwaa hili.
 
Hivi mnaloongeambona halina ukweli? Angalieni polls zinasemaje. Wengi wanataka jukwaa lirekebishwe. Sasa nyinyi mmkeakazania hoja yangu haifai. Unaweza kukuta hoja yangu ikasaidia kuleta mabadiliko kwenye jukwaa hili na likawa zuri zaidi ya hapa. Votes zinaonyesha tofauti. Kinachotakiwa kijadiliwe sasa tunalirekebisha vipi jukwaa hili.

thread_sucks-3.jpg
 
Allah's Slave

Join Date: Fri Mar 2008
Posts: 138


2ik5rmt.gif

Duu... we ni mtalaam wa IT si mchezo. Heshma mbele..

Naomba nimpe hongera Alah's slave kwa "kufunga goli la mapema" ndani ya mwezi mmoja post 138, 96% za dini. Sasa nipingane nawe kwa nguvu zote, eti siasa zifungwe ubinafsi tupu, we si mdau wa forum ya siasa waache wadau wake ...
 
Huyu ama ana pepo ama ni kipofu anahitaji maombi .Shetani lake likemewe maan anataka kuua roho za watanzania .
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom