Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Mnajua kuwa kila kikao waandishi wa habari huchukua elfu 10,000 au zaidi?
Je walikuwa wapi kufuatilia tetesi za David Kafulila juu ya tuhuma mwanzoni?
Ila kwenye kikao alichoitisha lazima walilamba hizo elfu kumi kumi! Ni wazo tu!
Je walikuwa wapi kufuatilia tetesi za David Kafulila juu ya tuhuma mwanzoni?
Ila kwenye kikao alichoitisha lazima walilamba hizo elfu kumi kumi! Ni wazo tu!