Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,607
Matapeli yote yapo CCMAnakuja huko Ufipa kwa wagalstia!
Matapeli yote yapo CCMAnakuja huko Ufipa kwa wagalstia!
Askofu Gwajima atakuwa mwenyekiti mpya hapo Chadema!Matapeli yote yapo CCM
Kama mlimpokea Lowasa mtashindwa nini kwa hawa?Hatuwezi kupokea mataputapu.
Kwanini asiwe CCM?Askofu Gwajima atakuwa mwenyekiti mpya hapo Chadema!
Hapana wakae hukohuko kwenye ma v8.Kurejea?
Hao jamaa (Gwajima na Polepole) waliwahi kuwa wanachama wa CHADEMA?
Ni ngumu hao uliowataja kwenda Upinzani, Kwa mazingira yalivyo inahitaji ngozi ngumu kufanya siasa za Upinzani na uka survive.Lakini sitastaajabu endapo askofu Gwajima na ndugu Polepole wataamua kurejea Chadema ili waendelee na siasa.
CCM ni chama kikubwa na wenyewe tupo.
Mungu ni mwema wakati wote!
Ndio AKILI zako Zilipoishia?Nawasalimu kwa jina la JMT.
Sitashangaa endapo mchakato wa kinidhamu unaoendelea CCM utawatupa nje ya uongozi makada wawili maarufu komredi Polepole na askofu Gwajima
Lakini sitastaajabu endapo askofu Gwajima na ndugu Polepole wataamua kurejea Chadema ili waendelee na siasa.
CCM ni chama kikubwa na wenyewe tupo.
Mungu ni mwema wakati wote!
Chadema jiandaeni!
Warejee CHADEMA ili waunganishwe kesi za ugaidi dhidi ya CCM.Hao jamaa kwenda Chadema itakuwa ni haki yao kisheria, kwani moja ya matakwa ya chama cha siasa ili kisajiliwe hakitakiwi kuwa na ubaguzi wa aina yoyote kwa mtu yeyote, wataenda Chadema wapewe kadi za uanachama ila watafute kazi nyingine za kufanya.
Hahahaaaa....... Gwaj boy ana mizizi Chadema!Hapa naona atakayeathirika n PoleX2 siyo Gwaji Boy!
Kwa hiyo CHADEMA watakuwa radhi kabisa kuwa na watu wanaosimamia legacy ya Magufuli? Chama kuwa na kutumia kanuni (principles & values) zake katika vetting ya wanachama wapya itatafsiriwa kama "ubaguzi"? AU CHADEMA hawana principles and values; wanazoa tu.Hao jamaa kwenda Chadema itakuwa ni haki yao kisheria, kwani moja ya matakwa ya chama cha siasa ili kisajiliwe hakitakiwi kuwa na ubaguzi wa aina yoyote kwa mtu yeyote, wataenda Chadema wapewe kadi za uanachama ila watafute kazi nyingine za kufanya.
Itapendeza maana wakirudi huko wataishia tuu kama walivyoishia akina Membe,Lowasa,Nyalandu and co😆😆😆😆Nawasalimu kwa jina la JMT.
Sitashangaa endapo mchakato wa kinidhamu unaoendelea CCM utawatupa nje ya uongozi makada wawili maarufu komredi Polepole na askofu Gwajima.
Lakini sitastaajabu endapo askofu Gwajima na ndugu Polepole wataamua kurejea Chadema ili waendelee na siasa.
CCM ni chama kikubwa na wenyewe tupo.
Mungu ni mwema wakati wote.
Acha wamtimue Gwajiboy na siasa zinoge.Sijui kwa nini kwenye vyama hivi watu wenye akili huwa hawatakiwi
Mf. Zitto pale Chadema
CCM nao watakuwa wamefanya hichohicho endapo wataamua hivyo
Gwajima ana hoja, badala ajibiwe kwa hoja anajibiwa kwa kutimliwa chama?
Ama kweli, Africa tumelogwa, Yaani mtu hatakiwi kutumia akili zake ispokuwa za kuambiwa peke yake na wazungu?
Ndiyo mnajidanganya😆😆😆Itapendeza maana wakirudi huko wataishia tuu kama walivyoishia akina Membe,Lowasa,Nyalandu and co😆😆😆😆
Atajiandaa kuchukua nchi aipeleke kule Musa alikuwa anatupeleka ni Joshua.Gwajima atagombea tena ubunge Kawe kwa tiketi ya Chadema!
Chadema kilishakufa. Hawawezi kuhamia upinzani. Kuna chama kina nguvu sana kinaitwa Falsafa za kupigania maslahi ya wanyonge. Chini ya Mama Samia usitegemee afanyr hayo makosa ya kufukuza.Nawasalimu kwa jina la JMT.
Sitashangaa endapo mchakato wa kinidhamu unaoendelea CCM utawatupa nje ya uongozi makada wawili maarufu komredi Polepole na askofu Gwajima.
Lakini sitastaajabu endapo askofu Gwajima na ndugu Polepole wataamua kurejea Chadema ili waendelee na siasa.
CCM ni chama kikubwa na wenyewe tupo.
Mungu ni mwema wakati wote.