Mkuu mbona ID yako ni ya siku nyingi.
Kwa humu JF siasa maana yake ni kuvaa gwanda, kuimba piiiipoz!!
Na usijue maana yake!
Mungu wa manyani ndio Mungu wa wana siasa. Nalog off
Sii HASA! ......SI HASA TANZANIA
Nchi hii waadilifu ndo wanaoandamwa.
Kwa nini watu wenye heshima mbele ya jamii yetu wanashiriki siasa kama ni mchezo mchafu au una maana nyingine
Natatizika mno nikisoma posts za wanazuoni wa jf,Zinamashiko na uhalisia yakinifu.UCHAWI, UFISADI,UDINI, TINDIKALI na mengineyo yashaanza kuzoeleka kama misamiati ya siasa nchini.Je nini sababu ya haya?Watu hawa ni Mungu yupi wanamwabudu? Uadilifu uko wapi?
Siasa ni mchezo mchafu,saa nyingine siasa ujaa fitina,ahadi za uongo kama za nyinyiemu pale jangwani,
siasa ni mchezo mchafu kwani upelekea watu kutolewa uhai wao kama walivyo mtoa uhai kamanda wetu pale arumeru.
Siasa ni mchezo mchafu,kwani upelekea watu wenye heshima kudhalilishwa kama walivyo dhalilishwa wabunge wetu na mwigulu nchemba.
Siasa mchezo mchafu kwani uzaa vibaraka wano pandikizwa kwaajili ya kuharibu siasa iliyo nzuri,kama alivyo shibuda ambaye ni kibaraka wa nyinyiemu ndani ya cdm.
Siasa ni mchezo mchafu kwani ujaa mbinu za wizi,fitina ili kutimiza malengo ya kisiasa,mbinu hizi huambata na wizi wa kura kama wanvyo fanya nyinyiemu, pia siasa huambata na fitina kama anazo ziendesha nape.