technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Nnachojiuliza ni kwanini serikali walisema chadema ndio waliohusika na kifo chake...juzi tena wakasema police alihusika!!
HaaaaahSiasa ni rahisi maana una choice ya kufanya kazi ya kipato/biashara au ukapepete mdomo kupinga kila kitu!
Acha kuumiza kichwa bureNnachojiuliza ni kwanini serikali walisema chadema ndio waliohusika na kifo chake...juzi tena wakasema police alihusika!!
Aina ya watu ambao wanafikiri nchi ni mali ya familia yako.Siasa huzaa serikali think wise ........Kazi yako ya kipato inapangwa na wanasiasa hao au wanakufilisi watakavyo.Politics lead a country,lead continent and lead the world.Siasa inaendesha nchi,wewe lima nyanya mkuuSiasa ni rahisi maana una choice ya kufanya kazi ya kipato/biashara au ukapepete mdomo kupinga kila kitu!
Waliofanya mauaji ya Mwangosi, Daima walaaniwe
Kivipi mkuuWaliofanya mauaji ya Mwangosi, Daima walaaniwe
Mambo haya yalikuwepo toka Uhuru!!!Hivi haya mambo hayakuwepo serikali zilizopita? Au tunasahau haraka tu?
You will totally be surprised!Aina ya watu ambao wanafikiri nchi ni mali ya familia yako.Siasa huzaa serikali think wise ........Kazi yako ya kipato inapangwa na wanasiasa hao au wanakufilisi watakavyo.Politics lead a country,lead continent and lead the world.Siasa inaendesha nchi,wewe lima nyanya mkuu
Kwani wewe ujaona hapo au unazuga ??Kwanini iwe ngumu?
Wajibu uwezi pata hapoNnachojiuliza ni kwanini serikali walisema chadema ndio waliohusika na kifo chake...juzi tena wakasema police alihusika!!
........kama Mayahudi yaliyo muua Yesu !Waliofanya mauaji ya Mwangosi, Daima walaaniwe
sasa huu uchochezi, shauri yako, usimlaumu mtu utakuwa ujinga wako mwenyeweKazi ya siasa na polisi ndio itakuwa kazi ngumu zaidi ya zote mwaka 2015-2020
View attachment 375785
View attachment 375786
View attachment 375791
View attachment 375794
View attachment 375795
View attachment 375796
Uoga wako ndio tatzo labdasasa huu uchochezi, shauri yako, usimlaumu mtu utakuwa ujinga wako mwenyewe
sasa huu uchochezi, shauri yako, usimlaumu mtu utakuwa ujinga wako mwenyewe