Siasa na malaria Zanzibar

montroll

JF-Expert Member
Jul 31, 2011
319
126
Zanzibar imejitangaza na kuaminiwa na jumuiya ya kimataifa kwamba imefanikiwa kumaliza malaria, imejiweka katika nafasi ya kupigiwa mfano katika mapambano dhidi ya ugonjwa huu hatari kabisa pengine hata kuzidi ukimwi.

Hizi ni siasa hatari sana, wanasayansi tiba wanalazimishwa na wanasiasa kutumia kipimo cha RDT kupima malaria, majibu yote ni NEGATIVE!

Ukimbana daktari kwa hoja na akakuona ni muelewa anaanza kupapta kigugumizi, anasema siasa imewaingilia.

Kwanini serikali zetu ziko tayari kumficha mgonjwa matatizo yake?

Hizo pesa wanazopewa kwa miradi ya malaria zitamsaidia nani kama malaria inafichwa na watu wanakufa?

Nani alaumiwe, wanasiasa au wanasayansi wetu?

Kweli pesa ilimuua hata Yesu! Wanasisa wanatuua kwa ajili ya pesa,
kwa ajili ya sifa! Wao na familia zao wanapimwa tunakopimwa sisi na vipimo vya RDT?

Malaria znz ipo na inaendelea kumaliza watu kama kawa, Madaktari wana siri moja na serikali, Hii ni hatari sana.

Wataalamu wa tiba waseme ukweli sasa.

Nawakilisha.
 
Zanzibar imejitangaza na kuaminiwa na jumuiya ya kimataifa kwamba imefanikiwa kumaliza maralia, imejiweka katika nafasi ya kupigiwa mfano katika mapambano dhidi ya ugonjwa huu hatari kabisa pengine hata kuzidi ukimwi.

Hizi ni siasa hatari sana, wanasayansi tiba wanalazimishwa na wanasiasa kutumia kipimo cha RDT kupima maralia, majibu yote ni NEGATIVE!

Ukimbana daktari kwa hoja na akakuona ni muelewa anaanza kupapta kigugumizi, anasema siasa imewaingilia.

Kwanini serikali zetu ziko tayari kumficha mgonjwa matatizo yake?

Hizo pesa wanazopewa kwa miradi ya maralia zitamsaidia nani kama maralia infichwa na watu wanakufa?

Nani alaumiwe, wanasiasa au wanasayansi wetu?

Kweli pesa ilimuua hata Yesu! Wanasisa wanatuua kwa ajili ya pesa,
kwa ajili ya sifa! Wao na familia zao wanapimwa tunakopimwa sisi na vipimo vya RDT?

Maralia znz ipo na inaendelea kumaliza watu kama kawa, Madaktari wana siri moja na serikali, Hii ni hatari sana.

Wataalamu wa tiba waseme ukweli sasa.

Nawakilisha.

Habari yako mkuu...

Nami naona kama na wewe hii mada umeipresent kisiasa pia...no facts, ushabiki tuu aidha wako au wa kundi fulani la watu wenye interest kama yako!

- Tulibadili dawa ya kutibu Malaria toka kwa SP kwenda dawa mseto (ACTs) kwa sababu tayari kiasi kikubwa cha vijidudu vya Malaria hasa plasmodium falciparum walikuwa sugu kwa SP. SP unameza mara moja tu na bei yake kutibu mgonjwa mmoja ilikuwa haizidi Tshs 500, hivyo haikuwa taabu hata kutumia kwa watu ambao waliohisiwa tu wana Malaria bila kuthibitisha kwa vipimo...sasa mseto (ALu) unameza mara 2 kwa siku 3, complete dose kwa mgonjwa mmoja ni zaidi ya Tshs 10,000 (hata kama hazitoki mfukoni mwako lakini somebody somewhere pay for it!). Kulikuwa na umuhimu wa kuthibitisha kama kweli ni Malaria kupunguza gharama za dawa/matibabu.

- Kipimo cha Malaria kilichokuwepo wakati ule ni darubini tu (Blood Slide for Microscopy) ambayo inahita kipande cha kioo (glass slide), kikausha slide (heater or bulb), kemikali ya kukuwezesha kusoma (stain), Darubini (mara nyingi ya umeme), na mtaalamu wa maabara. Hizo zote ni gharama sana kiasi fedha utakayosave kwenye dawa haitatosha, na hivyo sio cost effective kuroll out nchi nzima.

- Kipimo cha haraka cha Malaria (RDT) hakihitaji hayo yote niliyosema hapo, na ni cheap sana...hivyo cost effective ukoroll out nchi nzima utasave lots of money kwa kutowapa dawa (expensive ACT) wale ambao hawazihitaji ie hawana Malaria.

Ni UONGO uliopitiliza kiasi kusema kila test ya RDT majibu yote ni NEGATIVE..narudia, Umedanganya jamvi hapo! Research zimefanyika extensively Tanzania kwenye kutumia RDTs (Rufiji, Kilombero, Ulanga, Mwanza, Bagamoyo), na majibu ya tafiti hizo yapo kila mahali kwenye local and international journals. Bora hata ungedanganya kuwa majibu yote ni POSITIVE, kwani kipimo cha RDT ni 'higly sensitive' na hivyo kuna risk ndogo ya kutoa 'false positive' results...lakini sio 'false negative' zote!

Tatizo waTanzania bado tu hatujatoka kwenye yale mawazo ya kudhani kila homa ni Malaria..na daktari akikufanyia kipimo kasema si Malaria basi unakasirika. Wengine wanatoka nyumbani kwenda hospitali na diagnosis zao vichwani, ikiwa tofauti na ya daktari basi malalamiko na madharau. Daktari hawezi kukuficha ugonjwa wako, ili iweje? Hata kama UKIMWI, Saratani etc. unaambiwa, ndio itakuwa Malaria?! Madaktari wana siri na Serikali kwa faida ya nani...wao ama Serikali?....Masaburi yametumika hapo!

Hakuna mtu yeyote Tanzania (si ZMCP, NMCP, MoHSW/zMoH...hata donors/parteners) aliyewahi sema hakuna Malaria Zanzibar, bali yamepungua kwa kiwango kikubwa sana na inawezekana kutokomezwa visiwani huko....Zanzibar ilikuwa na prevalence ya Malaria zaidi ya 10% (thats very high), sasa hivi prevalence < 1%! Unabeza hiyo achievement? Wapi katika vita dhidi ya Malaria imewahi kutokea ukitoa Europe na America? Au unavyoona the whole world is praising Malaria control in Zanzibar unaona siasa?!

Tafiti kabla hujaposti mada za kitaaluma hapa, literature zipo kibao kwa kazi ambazo zimefanyika hapa hapa Tanzania, soma...kama huamini majibu ya hizo tafiti zipo emails za wahusika kwenye hizo publication...wasiliana nao uwachallenge, sio kubwabwaja tu hapa JF!
 
Riwa;

Asante sana mkuu kwa maelezo yako,

Kimsingi kabisa sina ubavu wa kupingana na wewe, kwani unaelekea ni mtaalamu wa afya na mimi nawaheshimu sana watu kama nyinyi. Mimi ni layman katika hili. Kwa bahati pia mimi huugua malaria mara chache sana, last time i checked after suspecting symptoms was January last year, the RDT sayed negative, sikutumia dawa yoyote ya malaria.

This time juzi this year nikaona symptoms za malaria, i went to the hospital and the doctor advcd me check for malaria first after having explained how i felt.

I returne with the negative RDT results to the doctor, nikamuuliza doc, kwahiyo sina malria? Na nikamueleza history yangu ya malari na RDT results za last year, doc akasema " unajua rafiki tatizo ni kwamba siasa zimeingia katika sayansi" wewe uko na malaria akaniandikia dose ya malari nikachukua dawa!

Sikumeza dawa,nikaenda maabara moja binafsi ambayo haiuzi dawa, nikapatikana na malari!
Nimeanza doz ile ya 15000.

Tell me doc(u seem to be) wht du u expect a layman like me in that field to think or react?

Am not putting politics here and am not using masaburi to think or write,

Tell the truth and only the truth, is politics interfering ur expertise?

If no why then the above?

U know better doc!
 
<br />
<br />


Asante sana mkuu kwa maelezo yako,
kimsingi kabisa sina ubavu wa kupingana na wewe, kwani unaelekea ni mtaalamu wa afya na mimi nawaheshimu sana watu kama nyinyi. Mimi ni layman katika hili. Kwa bahati pia mimi huugua malaria mara chache sana, last time i checked after suspecting symptoms was January last year, the RDT sayed negative, sikutumia dawa yoyote ya malaria. This time juzi this year nikaona symptoms za malaria, i went to the hospital and the doctor advcd me check for malaria first after having explained how i felt.

I returne with the negative RDT results to the doctor, nikamuuliza doc, kwahiyo sina malria? Na nikamueleza history yangu ya malari na RDT results za last year, doc akasema " unajua rafiki tatizo ni kwamba siasa zimeingia katika sayansi" wewe uko na malaria akaniandikia dose ya malari nikachukua dawa!
Sikumeza dawa,nikaenda maabara moja binafsi ambayo haiuzi dawa, nikapatikana na malari!
Nimeanza doz ile ya 15000.

Tell me doc(u seem to be) wht du u expect a layman like me in that field to think or react?
Am not putting politics here and am not using masaburi to think or write,
Tell the truth and only the truth, is politics interfering ur expertise?
If no why then the above?
U know better doc!
Kama ni mtaalamu wa afya, atakuwa hajafaulu vizuri katika lugha za kitabibu. Huwezi kumwambia mtu kwamba anafikiria kwa kutumia masaburi eti tu amesema tofauti na wewe unavyoamini, kuna journals nyingi za hicho kitu. Journals are just current/existing results of specific field, and they do not close the doors for reseaches on the particular field. Kama wewe ni doctor, fanyia kazi haya wanayosema watu.Ametumia maechanical defensive techniques kama kwamba unachojua ndo mwisho wa utafiti wa maralia na kitu ambacho sikukitarajia kabisa.
 
Mkuu Riwa chukua tano. Hii ndo michango ya maana, watu wanakurupuka na hoja zao wakiwa na nia zao, kila kitu wao kimekuwa siasa tu.
Kuna watu bila kuongea siasa na dharau kwao siku haijakamilika. Dharau ya jf inawajengea baadhi ya watu kiburi na kudhani wanajua kila kitu kumbe ni kujidanganya tu.
 
Asante sana mkuu kwa maelezo yako,
kimsingi kabisa sina ubavu wa kupingana na wewe, kwani unaelekea ni mtaalamu wa afya na mimi nawaheshimu sana watu kama nyinyi. Mimi ni layman katika hili. Kwa bahati pia mimi huugua malaria mara chache sana, last time i checked after suspecting symptoms was January last year, the RDT sayed negative, sikutumia dawa yoyote ya malaria.

This time juzi this year nikaona symptoms za malaria, i went to the hospital and the doctor advcd me check for malaria first after having explained how i felt. I returne with the negative RDT results to the doctor, nikamuuliza doc, kwahiyo sina malria? Na nikamueleza history yangu ya malari na RDT results za last year, doc akasema " unajua rafiki tatizo ni kwamba siasa zimeingia katika sayansi" wewe uko na malaria akaniandikia dose ya malari nikachukua dawa!

Sikumeza dawa,nikaenda maabara moja binafsi ambayo haiuzi dawa, nikapatikana na malari! Nimeanza doz ile ya 15000.

Tell me doc(u seem to be) wht du u expect a layman like me in that field to think or react?

Am not putting politics here and am not using masaburi to think or write,

Tell the truth and only the truth, is politics interfering ur expertise?

If no why then the above?
U know better doc!

Mkuu ulikutana na daktari au medical attendant?au ni clinical officer?au babu wa loliondo? Nakushauri kwa kuwa una uwezo wa kubrowse ni muhimu ukapitia maandiko juu ya malaria. There are so many issues to discuss basing on your story, daktari makini akikuhudumia mtu mzima kama wewe ambaye naamini umeishi eneo hili lenye malaria kwa wingi na kwa muda mrefu
basi daktari huyu ataifanya malaria kuwa diagnosis ya mwisho kuifikiria.

Namshukuru dr Riwa alivyofafanua.punguza jazba na kukurupuka mkuu. "get your facts first then you can distort them anyhow"
 
Kama ni mtaalamu wa afya, atakuwa hajafaulu vizuri katika lugha za kitabibu. Huwezi kumwambia mtu kwamba anafikiria kwa kutumia masaburi eti tu amesema tofauti na wewe unavyoamini, kuna journals nyingi za hicho kitu. Journals are just current/existing results of specific field, and they do not close the doors for reseaches on the particular field. Kama wewe ni doctor, fanyia kazi haya wanayosema watu.Ametumia maechanical defensive techniques kama kwamba unachojua ndo mwisho wa utafiti wa maralia na kitu ambacho sikukitarajia kabisa.
Mkuu unazidi kulikoroga, masaburi si lugha tu ya layman, yeyote anaweza kuitumia kukuweka sawa, rudi ktk chanzo cha neno lenyewe, kama mleta thread alivyothibitisha mara ya pili "unajua rafiki ni kwamba siasa zimeingia ktk sayansi" haya si maneno ya kutoa jibu la moja kwa moja kwamba fani imeingiliwa na siasa. Angemtaka huyo daktari athibitishe hilo sio kukurupuka ktk jamvi la GT.
 
Ukienda hospital wakataka kutumia RDT kipimia malaria usikubali. Rdt inaanza kusoma malaria ikawa ni zaidi ya 10 parasites sasa zikiwa chin hiyo RDT haioni mpaka utumie blood slide ndo inaona hata kama parasite 1, hivyo basi Bs is still the best
 
Ukienda hospital wakataka kutumia RDT kipimia malaria usikubali. Rdt inaanza kusoma malaria ikawa ni zaidi ya 10 parasites sasa zikiwa chin hiyo RDT haioni mpaka utumie blood slide ndo inaona hata kama parasite 1, hivyo basi Bs is still the best

mkuu nini hiki tena?au ndio wewe uliyemjibu huyu mleta mada?hivi ni mara ngapi BS inakuwa positive kwa mpimaji A halafu ikawa negative kwa mpimaji B na C.

Isitoshe what is the clinical significance ya parasites less than 10 kwenye mwili wa binadamu.halafu RDT unayoiongelea ni ipi,inadetect species wangapi na hapa kwetu tanzania tunasumbuliwa na species wa aina zipi?

..................to complicate the thread even more unaweza ukanikuta na vimelea vya malaria lakini isiwe sababu ya homa yangu as far as ninaishi kwenye malaria endemic area.unawezaje kulinganisha kati ya wasoma BS hawa????

1.aliyemaliza chuo cha maabara mwaka jana

2.aliyemaliza chou cha maabara miaka kumi iliyopita na akafanya kazi ya maabara tanzania

3.aliyepima malaria kwa miaka mingi kuanzia uhuru

wachukue watu hao hao na uwape course ya one week ya jinsi ya kutumia RDT halafu ulinganishe matokeo watakayotoa.
 
mkuu nini hiki tena?au ndio wewe uliyemjibu huyu mleta mada?hivi ni mara ngapi BS inakuwa positive kwa mpimaji A halafu ikawa negative kwa
mpimaji B na C.isitoshe what is the clinical significance ya parasites less than 10 kwenye mwili wa binadamu.halafu RDT unayoiongelea ni ipi,inadetect species wangapi na hapa kwetu tanzania tunasumbuliwa na species wa aina zipi?
..................to complicate the thread even more unaweza ukanikuta na vimelea vya malaria lakini isiwe sababu ya homa yangu as far as ninaishi kwenye malaria endemic area.unawezaje kulinganisha kati ya wasoma BS hawa????

1.aliyemaliza chuo cha maabara mwaka jana

2.aliyemaliza chou cha maabara miaka kumi iliyopita na akafanya kazi ya maabara tanzania

3.aliyepima malaria kwa miaka mingi kuanzia uhuru
wachukue watu hao hao na uwape course ya one week ya jinsi ya kutumia RDT halafu ulinganishe matokeo watakayotoa.


Sasa nadhani naanza kuelewa utata unaotokea, kwamba kuna test za angalau aina mbili:

1. Slide -can detect even less than 10 parasites

2.RDT- can detect from 10 and above.

Kwamba record ya wanaougua malaria ina tegemea na kipimo ambacho mamlaka/hospital/maabara/daktari ameamua kutumia!
Naona kama haijakaa vizuri hapa na hili ni swala la uhai,

Wataalamu watujuze zaidi,
 
mkuu ulikutana na daktari au medical attendant?au ni clinical officer?au <b>babu wa loliondo?</b><br />
nakushauri kwa kuwa una uwezo wa kubrowse ni muhimu ukapitia maandiko juu ya malaria.

There are so many issues to discuss basing on your story,daktari makini akikuhudumia mtu mzima kama wewe ambaye naamini umeishi eneo hili lenye malaria kwa wingi na kwa muda mrefu.

Basi daktari huyu ataifanya malaria kuwa diagnosis ya mwisho kuifikiria.namshukuru dr Riwa alivyofafanua.punguza jazba na kukurupuka mkuu
get your facts first then you can distort them anyhow&quot;

Sisi vilaza tukiingia ktk hizo ofisi zenu za tiba mlangoni tunakuta pameandikwa chumba cha daktari na hutozwa gharama ya kumuona doc. na suala la mtoa mada mimi limenikutj hapa zenji,nilimbana doc.

Sababu ya ku-prescribe dose ya malaria wakati vpmo viko hasi jawabu likawa ni siasa.sasa wewe unaye tutaka huku ukitukana tufanye utafiti unazungumza nini? Kipi bora first hand experience or hearsay (for this case -browsed-it-somewhere-research)!
 
Sisi vilaza tukiingia ktk hizo ofisi zenu za tiba mlangoni tunakuta pameandikwa chumba cha daktari na hutozwa gharama ya kumuona doc. na suala la mtoa mada mimi limenikutj hapa zenji,nilimbana doc.

Sababu ya ku-prescribe dose ya malaria wakati vpmo viko hasi jawabu likawa ni siasa.sasa wewe unaye tutaka huku ukitukana tufanye utafiti unazungumza nini? Kipi bora first hand experience or hearsay (for this case -browsed-it-somewhere-research)!
mkuu nimejaribu kukuelewa unamaanisha nini nimeshindwa!!
 
Sisi vilaza tukiingia ktk hizo ofisi zenu za tiba mlangoni tunakuta pameandikwa chumba cha daktari na hutozwa gharama ya kumuona doc. na suala la mtoa mada mimi limenikutj hapa zenji,nilimbana doc.

Sababu ya ku-prescribe dose ya malaria wakati vpmo viko hasi jawabu likawa ni siasa.sasa wewe unaye tutaka huku ukitukana tufanye utafiti unazungumza nini? Kipi bora first hand experience or hearsay (for this case -browsed-it-somewhere-research)!

Ndio yale yale...unalazimisha majibu ya RDT lazima yawe POSITIVE ukiwa na homa, na ikiwa NEGATIVE basi ni kosa la daktari! How can I help you sir!?
 
Ukienda hospital wakataka kutumia RDT kipimia malaria usikubali. Rdt inaanza kusoma malaria ikawa ni zaidi ya 10 parasites sasa zikiwa chin hiyo RDT haioni mpaka utumie blood slide ndo inaona hata kama parasite 1, hivyo basi Bs is still the best

Hapo kwenye nyekundu Dr G kama wewe kweli ni daktari aliyesajiliwa nakushauri rudisha tu leseni MCT...RDT imekuwa rolled-out nchi nzima now, ina maana wooote walioshiriki kwenye mchakato wa kuitafiti na kwa kutumia majibu ya tafiti hizo (evidence based) kuijumuisha kwenye policy na guidelines za malaria diagnosis and treatment ni mataahira, na wewe ndio the smartest doctor! Nyie ndio mnashauri wagonjwa kufuatana na hisia badala ya scientific evidences...malaria bado ni ugonjwa unaoua kuiliko ugonjwa mwingine wowote Tanzania, and yet...huna updated information on how to diagnose it?! Hatari!

BS inaitwa 'gold standard' kwenye malaria diagnosis, and yes...mpaka sasa hakuna kipimo chochote superior kwa malaria diagnosis zaidi ya BS kwa sababu unamuona parasite directly, thas a sure diagnosis (iweapo utamuona kweli)...BUT...rejea mchango wa Kipindupindu...Uhakika wa BS unategemea quality ya mpimaji (Lab attendant/technician/technologist/scientist and their years of experience). Hata ukiwa na maLab technologist wa3 wakasoma slide moja bila kila mmoja kujua majibu ya mwenzie..kuna possilibility kuwa ya wote kutoa majibu tofauti, na hiyo inapelekea sasa kuanza kufikiria 'gold standard' kuwa PCR na sio BS tena!
 
Mkuu Riwa chukua tano. Hii ndo michango ya maana, watu wanakurupuka na hoja zao wakiwa na nia zao, kila kitu wao kimekuwa siasa tu.
Kuna watu bila kuongea siasa na dharau kwao siku haijakamilika. Dharau ya jf inawajengea baadhi ya watu kiburi na kudhani wanajua kila kitu kumbe ni kujidanganya tu.
Achukue tano kwa lipi alilooongea?
 
Achukue tano kwa lipi alilooongea?

Mimi personally wazee wangu ni qualified experienced qualified practitioners washafanya kazi na UNDP, WHO na organizations nyegine za kimataifa nchini na nje ya nchi. Wamekuwa wakinituma niwanunulie dawa za tiba za asili za malaria kwa kuwa diagnose wajukuu zao na malaria wakati vipimo.vya hospital vinsema negative. Cha kushangaa watoto wanapopewa dose ya malaria tu wanakuwa OK despite the fact kwamba walikuwa -ve. Bila ya dose ya malaria wanaendelea kuwa wanaumwa.
 
Back
Top Bottom