Siasa na dini ni chombo kipi kimesababisha umwagwaji wa damu Tanzania?

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
Kumekuwa na maneno mengi sana kutoka kwa wana Siasa na Viongozi wa Serikali kuwa dini ni chombo hatari sana katika jamii na kinaweza kusababisha umwagaji mkubwa wa damu katika nchi iwapo wahusika wa dini hawatakuwa macho na makini katika kuhubiri imani zao.

Ni kweli kumekuwa na mihadhara mikali, motomoto na hata kutishia amani baina ya Waislam na Wakristo, lakini hatujasikia kuwa mihadhara hiyo imesababisha umwagaji wa damu hususani Tanzania.

Katika kipindi cha mpito, tumeona jinsi Siasa ya Tanzania ilivyo sababisha umwangaji wa damu hasa pale ambapo panakuwa na mvutano kati ya Chama ongozi na Vyama vya upinzani katika majimbo na mikoa tafauti.

Kutokana na hayo hapo juu, ni vigezo vipi vinatumiwa na Wanasiasa pale wanapo sema kuwa, eti, Dini ni hatari sana na inaweza kusababisha umwagaji wa damu katika Nchi na kuiacha siasa ambayo teyari inamwaga damu Tanzania?

Kati ya Siasa na Dini, ni chombo kipi kipo mstari wa mbele katika umwagaji wa damu Tanzania?

Natanguliza shukrani kwa wachangiaji.

Semetic
 
Politics at all times causes bloodshed. Example, just look at what is happening right now in Libya? It is politicians and not people of "faith" who are causing carnage. One fact is this, if religion didn't exist it couldn't be used as a political weapon.
 
Hapa panaitaji umaki zaidi,tukiongea hapoTanzania siasa yaweza kuwa imechangia sana mfano 2000 Zanzibar,tumeshudia Arusha,Mbeya,Mwanza sehemu kubwa ni siasa lakini pia dini imechangia mfano Mwembechai saga pia udini ukitumika kwe siasa waweza leta taflani.
Haitakuwa vibaya tukitaza sehem nyingine hapa Afrika utaona kuna nchi ambazo bloodshed resulted from religous factions,fundamentalism and extrimism.Egypt,Nigeria,Chad,Sudan and Somalia that islamic laws has been a triger for instabilities that has costed the life of many innocent Africans.
The issue is power-politics,people and power,greedy and selfishness of a human being.
 
vita ya dini ni mbaya na inamwaga damu za watu klk vita ya siasa cos mara nyingi huwa vita ya dini inaambatana na siasa ndani yk.
 
Hapa panaitaji umaki zaidi,tukiongea hapoTanzania siasa yaweza kuwa imechangia sana mfano 2000 Zanzibar,tumeshudia Arusha,Mbeya,Mwanza sehemu kubwa ni siasa lakini pia dini imechangia mfano Mwembechai saga pia udini ukitumika kwe siasa waweza leta taflani.
Haitakuwa vibaya tukitaza sehem nyingine hapa Afrika utaona kuna nchi ambazo bloodshed resulted from religous factions,fundamentalism and extrimism.Egypt,Nigeria,Chad,Sudan and Somalia that islamic laws has been a triger for instabilities that has costed the life of many innocent Africans.
The issue is power-politics,people and power,greedy and selfishness of a human being.

Na huku ndiko serikali ya ccm inayohubiri udini inakotaka kutupeleka, kama igunga imejitahidi sana kuwatumia BAKWATA je kama kikitokea chama kingine kitumia wakristo Tanzania ya leo itakua salama? Ccm ridhikeni na muda mliokaa madarakani waachieni na wengine kuepuka hili janga mnalolichochea kwa sasa
 
Ccm mmeanzisha udini na mtaanguka kabla hamjatimiza udini wenu, kwani watanzania wengi tunamlilia Mungu ktk kudumisha amani yetu. Japo majukwaani mnakuwa wanafiki mkituhadaa na maneno Mungu ibariki tz wakati mnachochea udini, enyi viongozi wa ccm acheni kumtania mungu, Mungu sio siasa za uongo mnazotuletea
 
siasa ni mchezo mchafu, mwanasiasa yupo radhi lumwaga damu ili aingie madarakani .. angalia mauaji yaliyotokea kenya. ruanda. Burundi. libya. etc.. mimi ndio maana kamwe siwaamini wanasiasa.

dini ni ngumu kuleta mauaji tena sansana kwenye Tanzania yetu, mkristu anampa muislamu kuku achinje ili baadaye aweze hata kumkaribisha mtu/mgeni ambaye ni muislamu .. mtaani tunaishi kwa kuheshimiana ukiachana na wahuni wachache wanaoendekeza mihadhara.

ukirudi kwenye siasa watu wawili wenye itikadi tofauti za kichama mara nyingi wanakuwa hawaelewani.
 
Hapa panaitaji umaki zaidi,tukiongea hapoTanzania siasa yaweza kuwa imechangia sana mfano 2000 Zanzibar,tumeshudia Arusha,Mbeya,Mwanza sehemu kubwa ni siasa lakini pia dini imechangia mfano Mwembechai saga pia udini ukitumika kwe siasa waweza leta taflani.
Haitakuwa vibaya tukitaza sehem nyingine hapa Afrika utaona kuna nchi ambazo bloodshed resulted from religous factions,fundamentalism and extrimism.Egypt,Nigeria,Chad,Sudan and Somalia that islamic laws has been a triger for instabilities that has costed the life of many innocent Africans.
The issue is power-politics,people and power,greedy and selfishness of a human being.
Maangalizo mawili:
1. Islamic laws zinaleta mizozo mle tu ambamo mna mchanganyiko wa dini na viongozi kutaka kuweka sheria za kiislamu (ziwaadhibu) zitumike kwa watu wa dini zote. Vyenginevyo, kwenye nchi za Kiislamu wenyewe wanajuana. Wanauliwa watu wasio hatia zaidi Marekani kwa adhabu za kifo kuliko Saudi Arabia.
2. Upande mmoja, viongozi wa kisiasa ni wauwaji zaidi zaidi kuliko viongozi wa kidini. Hapa tunaweka upande wale wenye misimamo mikal ya kidini ambao hufasiri maandiko ya kidini kwa maslahi yao. Kwa upande wa pili viongozi wa kisiasa hutumia siasa za kidini ili kuwagawanya wananchi ili kwaendelee kutawala. Kwa hili wala tusitafute mifano ya mbali.
 
Umwgaji damu ktk nchi unatofautiana,hasa usababshwa na dini au ukabila.Kwa tz ukabila hauwezi,ila siasa kidogo sana lakn udini na uhakika utaleta umwagaji damu kwa sababu Ccm ndio wameamua watumie ile wagawe na watawale bila kuangalia madhara yake hapo baadae.Kama walivyosema wengine siku chama kingne kkj kukutumia dini nyingne mbona ndio mwisho wa usemi we2 wa tz ni nchi AmaNi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom