Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,720
- 10,800
Majibu mzuri TanescoKwa hatua ulipofikia ujenzi wa tuta kuu tunaruhusiwa kuanza kuhifadhi maji (water emponding) isipokuwa hatujaanza kuhifadhi kwakuwa njia ya kuchepusha maji haijafungwa.
Ufungaji wa geti la njia ya kuchepusha maji lina hatua mbili.
1. Kujenga tuta kuu hadi kimo cha mita 95 kutoka usawa wa bahari. Kazi hii imeshakamilika
2. Kufunga mfumo ya kushushia mageti kwenye njia ya mchepusho wa maji. Mageti yalishafika ila mfumo wa kuyashushia unafika mwanzo mwa Januari 2022.
Mfumo ukikamilika kufungwa mageti yatashushwa, na tutaanza kuhifadhi maji.
Ni mfumo ambao ndani una crane na miundombinu wezeshi ya kutumia na kuendesha crane hizo. Crane hizo zinaitwa wire rope hoist crane zimaendeshwa kwa umeme sio hydraulic
Swali:
Kwanini vifaa vinavyo hitajika site vichelewe kufika/kuagizwa?
Kuna hujuma kuelekea kufanikisha mradi