collezione
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 352
- 178
Hatimaye amechaguliwa kuwa mlezi wa wazazi kata ya kivukoni..... Haha Na kweli anajiibidiisha kwa hali na mali.
Kazi inaendelea mpaka kieleweke.
Le Baharia naona sasa hivi anashinda Facebook kupiga majembe CHADEMA, na kuisfia CCM.
Hivi jamaa ametoka ulaya hakuna ishu nyingine ya kufanya. Mpaka kung'ang'ania cheap politics.
Ninapata shida kujua, all the years state alikua unafanya nini????
Kazi inaendelea mpaka kieleweke.
Le Baharia naona sasa hivi anashinda Facebook kupiga majembe CHADEMA, na kuisfia CCM.
Hivi jamaa ametoka ulaya hakuna ishu nyingine ya kufanya. Mpaka kung'ang'ania cheap politics.
Ninapata shida kujua, all the years state alikua unafanya nini????