Twataka maendeleo yanayosababishwa. Utasikia mtu asema wakati wa uhuru 1961 tulikuwa na chuo kimoja sasa tuna 50! Hata nchi iliyokuwa chini ya ukoloni iliweza kuwa na vyuo 50 kwa miaka 20 kama Zimbabwe (1961-1980). Mtu aonyeshe kama tungalikuwa si huru, hali ingekuwaje na sasa tu huru maendeleo yaliyosababishwa ni yepi! We do not like chama just sitting on their behinds waiting for a natural course of action, eating and squandering then waibuka kusema wao wamesababisha maendeleo. Hata maji ya mto hufuata a natural force of gravity. Je tuseme sisi ndo tumechimba mito?
Avoid agreeing to everything hata kama umeambiwa na babayo. Tujifunze kujiuliza. We all know that "When contradiction ends, development ceases!"Ukiona nchini "ndiyo baba" nyingi, anza kuogopa.
Avoid agreeing to everything hata kama umeambiwa na babayo. Tujifunze kujiuliza. We all know that "When contradiction ends, development ceases!"Ukiona nchini "ndiyo baba" nyingi, anza kuogopa.