Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Unakumbushwa tu ukipenda kuwa CHADEMA jitahidi uijue KATIBA, falsafa ya chama sambamba na itikadi yake ili uweze kujipima na kufanya maamuzi rafiki.
1. CHADEMA kila mwanachama ana haki na wajibu sawa linapokuja swala la kulinda maslai ya chama popote pale iwe ndani au nje ya eneo la uvunjwaji huo wa maslai ya chama unapotokea.
2. CHADEMA inatoa fursa sawa kwa kila mwanachama ambaye anahisi au mwenye uwezo wa kukisaidia chama kukipeleka ngazi ya juu kimaendeleo iwe ndani ama nje kiuongozi na kichama.
3. CHADEMA mwanachama mpya ana haki sawa na mwanachama mkongwe. Ndio, yaani ukikidhi vigezo wewe unafaa kuwa miongoni mwa wanachama na unaruhusiwa kufanya chochote chenye baraka ya CHAMA.
4. CHADEMA ni chama kinachotoa mafunzo kwa wanachama wake kupitia njia mbalimbali za kizamani na kisasa kwa mfumo wa hali ya juu sana.
ANGALIZO
Ukiwa CHADEMA ukumbuke tu unaweza kupoteza maisha, mali, kazi, kudharirishwa, kupata ulemavu, kupakaziwa mambo yasiofaa nk. Unakumbushwa tu uyaonapo hayo yanatokea au kukutokea jua kabisa wewe sio wa kwanza, wapo waliowengi sana wamefikwa na changamoto mbalimbali katika CHAMA.
CHADEMA hakuna fedha. Hapa kuanzia CHADEMA MSINGI ( Uongozi wa kibarozi mtaani/ kijijini ) mpaka ngazi ya juu katika kukijenga CHAMA huwa kunafanyika harambee kukuza mfuko ili kazi za CHAMA ziende kwa usahihi.
Kuchangia CHAMA ni jambo la hiari kwa mwananchi, wanachama na kwa viongozi kuna utaratibu wa kuchangia kwa kiwango kilichopangwa.
"Freedom is coming tomorrow"
1. CHADEMA kila mwanachama ana haki na wajibu sawa linapokuja swala la kulinda maslai ya chama popote pale iwe ndani au nje ya eneo la uvunjwaji huo wa maslai ya chama unapotokea.
2. CHADEMA inatoa fursa sawa kwa kila mwanachama ambaye anahisi au mwenye uwezo wa kukisaidia chama kukipeleka ngazi ya juu kimaendeleo iwe ndani ama nje kiuongozi na kichama.
3. CHADEMA mwanachama mpya ana haki sawa na mwanachama mkongwe. Ndio, yaani ukikidhi vigezo wewe unafaa kuwa miongoni mwa wanachama na unaruhusiwa kufanya chochote chenye baraka ya CHAMA.
4. CHADEMA ni chama kinachotoa mafunzo kwa wanachama wake kupitia njia mbalimbali za kizamani na kisasa kwa mfumo wa hali ya juu sana.
ANGALIZO
Ukiwa CHADEMA ukumbuke tu unaweza kupoteza maisha, mali, kazi, kudharirishwa, kupata ulemavu, kupakaziwa mambo yasiofaa nk. Unakumbushwa tu uyaonapo hayo yanatokea au kukutokea jua kabisa wewe sio wa kwanza, wapo waliowengi sana wamefikwa na changamoto mbalimbali katika CHAMA.
CHADEMA hakuna fedha. Hapa kuanzia CHADEMA MSINGI ( Uongozi wa kibarozi mtaani/ kijijini ) mpaka ngazi ya juu katika kukijenga CHAMA huwa kunafanyika harambee kukuza mfuko ili kazi za CHAMA ziende kwa usahihi.
Kuchangia CHAMA ni jambo la hiari kwa mwananchi, wanachama na kwa viongozi kuna utaratibu wa kuchangia kwa kiwango kilichopangwa.
"Freedom is coming tomorrow"