Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,428
- 37,641
Unatamka haya kwa faida ya "wauaji" wenzako lakini Mungu atabaki amesimama milele. Hila zenu zimeshindwa, Dr Shoo is there to stay!!Siogopi chochote japokuwa mm nataka asipite.
Unatamka haya kwa faida ya "wauaji" wenzako lakini Mungu atabaki amesimama milele. Hila zenu zimeshindwa, Dr Shoo is there to stay!!Siogopi chochote japokuwa mm nataka asipite.
Majungu,fitina,ghiliba,chuki,husuda haziwezi kukosekana naamini hivyo apambane tu na hali yake!Mzee ni nao wasiwasi maana nasikia wazee wa k walipenyeza .... ili jamaa asiwe tena.
Ameshinda tenaUchaguzi wa Mkuu wa KKKT unaendelea hadi usiku huu.
Lakini lipo jambo nalisumbukia sana toka mapema juzi kwamba je ukereketwa wa Siasa za Tanzania ulio wa wazi kabisa kwa ma Askofu wa Kkkt utamponya na kushinda tena kinyang'anyilo uchaguzi ule Dk Shoo?
Malasusa hana ushawishi tena KKKT. Na bay a zaidi serikali imeshindwa kumteua mtu mwenye ushawishi ndani ya KKKT Ili awekwe mtu wao. Tunatambua RC ina nguvu kule Juu sana, na Mkuu wa huko Juu sana Mara zote huwa ni 'mtu wao' Sasa serikali za kipindi kulichopita walikuwa wanaweka PM ambaye 'anazungumza Lugha moja' na KKKT. Safari hii amewekwa PM wa nusu BAKWATA nusu RC(innalilahi....) Kwaiyo hakuna ushawishi kwa Kanisa na hivyo Shoo AMESHINDA kibabeKama Malasusa hana kinyongo na Shoo, anaweza akashinda. Lakini u must know Malasusa ana kambi yake ya chini kwa chini ambayo inaweza ikaleta upinzani kwa Shoo ambaye naye alitaka kumwangusha Malasusa.
Time will tell.
Nawe unaamini kuwa anatoka Vatican?Naona wapinzani wa Shoo ni kina Munga ambao pia sio wababaishaji.
Nimependa utaratibu wa KKKT, askofu mkuu anachaguliwa na maaskofu wenzake wa kitanzania sio askofu tuletewe kutoka Vatcan.
Ndio maana China walikataa huo ujinga, waumini wachina, mapadri wachina ila eti wachaguliwe vatcan. Wanaleta tu mtu hata ambae waumini hawamjui. Huo ni utaahira.
Wachague mtu anaekubalika na waumini wanamkubali.
Habari za hv pundeView attachment 1188794
Malasusa hana ushawishi tena KKKT. Na bay a zaidi serikali imeshindwa kumteua mtu mwenye ushawishi ndani ya KKKT Ili awekwe mtu wao. Tunatambua RC ina nguvu kule Juu sana, na Mkuu wa huko Juu sana Mara zote huwa ni 'mtu wao' Sasa serikali za kipindi kulichopita walikuwa wanaweka PM ambaye 'anazungumza Lugha moja' na KKKT. Safari hii amewekwa PM wa nusu BAKWATA nusu RC(innalilahi....) Kwaiyo hakuna ushawishi kwa Kanisa na hivyo Shoo AMESHINDA kibabe
Siasa ni maisha ya kila siku anayoyaishi binaadamu yeyote aliye chini ya jua haijalishi ni Askofu,Maalim,Sheikh,Mchungaji,Tajiri masikini siasa ukiipeleka ndivyo sivyo inaweza leta dhiki shida vita ambayo haiangalii huyu ni nani na siasa hiyo hiyo ukiisimamia vizuri itakupa mema ya nchi Amani ,Upendo na Utulivu wa Moyo na Akili ,unaachana na siasa pale unapoingia kaburi mtu anapo sema mimi sio mwanasiasa huwa namwangalia mara mbilimbili huyuuu kuna nyuzi imekatika some were halafu kibaya zaidi utakuta ana master mkononi.Siasa ni nini ?
Askofu wa chadema huyo mchaga aliyeshindwa kuzuia mahaba yake kwa chama cha nyumbani.
Sasa unamlilia nani hapa? | |
Mwanaharakati Wa chadema Dr Shoo
Wewe mtu mzima unapokuja hapa ukilia kwa sauti kiasi hiki unatutisha. | |
Hebu nyoosha maelezo, siasa au kusema ukweli ndio kutamponza.Uchaguzi wa Mkuu wa KKKT unaendelea hadi usiku huu.
Lakini lipo jambo nalisumbukia sana toka mapema juzi kwamba je ukereketwa wa Siasa za Tanzania ulio wa wazi kabisa kwa ma Askofu wa Kkkt utamponya na kushinda tena kinyang'anyilo uchaguzi ule Dk Shoo?
Taifa la wajinga kama wewe kila kitu mnaweka siasa dr shoo ndio ameshindaUchaguzi wa Mkuu wa KKKT unaendelea hadi usiku huu.
Lakini lipo jambo nalisumbukia sana toka mapema juzi kwamba je ukereketwa wa Siasa za Tanzania ulio wa wazi kabisa kwa ma Askofu wa Kkkt utamponya na kushinda tena kinyang'anyilo uchaguzi ule Dk Shoo?
Yesu aliuawa kwa sababu za kidini ila mafarisayo walitumia sheria za kisiasa kufanikisha kumuua
ndio maana nikakuambia walitumia waliunga unga mashitaka ya kisiasa kutimiza lengo laoMashitaka ya Yesu:"Anakataza watu kulipa kodi", ni mashitaka ya kidini?