Mchomamoto
Senior Member
- Aug 19, 2011
- 169
- 36
Wana JF wenzangu hivi kweli hata kuhifadhi wanyamapori wetu na misitu yetu lazima tuingize siasa??
Hali katika hifadhi zetu zote nchini sasa hali ni mbaya kupita kiasi, katika hali ya kawaida unaweza usikubali kuwa wanyamapori sasa wanakumbwa na balaa kubwa kwenye hifadhi zetu. Jamani naomba tuelewe kuwa "WILDLIFE ARE NOT RENEWABLE RESOURCES"
Hivyo kwa huu mchezo wa kutokukubali kupeleka pesa za kufanyia doria, uhaba wa vifaa, kutokujali wafanyakazi, kuacha watu waliobobea kwenye uhifadhi wafanye kazi zao na sasa tunaingiza siasa haki ya nani naapa wanyama wataisha,miti itaisha,madini yataisha na hatimae maji kwenye maziwa yakauke na hapo ndipo tutakaposaga meno! hasa kwa vizazi vyetu vijavyo. HIVI WATOTO WETU WATAKUTA TEMBO, SIMBA, NYATI, CHUI, FARU kwa mtindo huu kweli????????????
Hali katika hifadhi zetu zote nchini sasa hali ni mbaya kupita kiasi, katika hali ya kawaida unaweza usikubali kuwa wanyamapori sasa wanakumbwa na balaa kubwa kwenye hifadhi zetu. Jamani naomba tuelewe kuwa "WILDLIFE ARE NOT RENEWABLE RESOURCES"
Hivyo kwa huu mchezo wa kutokukubali kupeleka pesa za kufanyia doria, uhaba wa vifaa, kutokujali wafanyakazi, kuacha watu waliobobea kwenye uhifadhi wafanye kazi zao na sasa tunaingiza siasa haki ya nani naapa wanyama wataisha,miti itaisha,madini yataisha na hatimae maji kwenye maziwa yakauke na hapo ndipo tutakaposaga meno! hasa kwa vizazi vyetu vijavyo. HIVI WATOTO WETU WATAKUTA TEMBO, SIMBA, NYATI, CHUI, FARU kwa mtindo huu kweli????????????