controler
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 1,562
- 361
Ni kweli uwanja wa ndege Mwanza ni aibu zile ofisi za pale zinasikitisha jengo limechoka sana mvua ikinyesha wote mnanyeshewa na mvua.
Hivi Ule wa kimataifa wa Kigoma Upo katika hatua Gani Mkuu? bado ule mpango wa kuigeuza kigoma kuwa Dubai Upo?