fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Napenda wajuzi wa mambo wanifahamishe kama uwanja wa ndege wa Mwanza ni International au la? Swali hili linatokana na ukweli kwamba sometimes ninaona ndege kutoka nje ya nchi zinatua hapo, hivi karibuni pia Rwandair itaanza kutua mwanza.
Kwa upande wa pili, ninafika uwanjani hapo siamini ninachokiona, hata stendi ya mabasi ya zamani ya kampuni binafsi inakuwa nzuri kuliko uwanja wa ndege wa Mwanza, waiting room paa linavuja, chumba ni kama cha kusubiri kwenda kumuona daktari kituo cha afya au zahanati. Nashindwa kujua wala kuamini ninahisi kuna international flights hapo.
Je uwanja wa ndege wa Mwanza umeshindwa kutengenezwa kuwa international ya ukweli? Je hukuna fedha kwa kazi hiyo, tutasafiri hadi lini kwenye kijiuwanja cha namna hiyo? Uwanja utadhani sokoni kwenye vijigenge vidogo vidogo kibao??
Nani ameshindwa kuwa na maono ya mbali??? serikali kuu, ya Mkoa au ya Wilaya? Jiji au Wananchi wa Mwanza???
Nawasilisha.
Kwa upande wa pili, ninafika uwanjani hapo siamini ninachokiona, hata stendi ya mabasi ya zamani ya kampuni binafsi inakuwa nzuri kuliko uwanja wa ndege wa Mwanza, waiting room paa linavuja, chumba ni kama cha kusubiri kwenda kumuona daktari kituo cha afya au zahanati. Nashindwa kujua wala kuamini ninahisi kuna international flights hapo.
Je uwanja wa ndege wa Mwanza umeshindwa kutengenezwa kuwa international ya ukweli? Je hukuna fedha kwa kazi hiyo, tutasafiri hadi lini kwenye kijiuwanja cha namna hiyo? Uwanja utadhani sokoni kwenye vijigenge vidogo vidogo kibao??
Nani ameshindwa kuwa na maono ya mbali??? serikali kuu, ya Mkoa au ya Wilaya? Jiji au Wananchi wa Mwanza???
Nawasilisha.