strategist22
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 656
- 594
Siasa Tanzania imekuwa zaidi ya uadui ni vita vya maangamizi kabisa. Mwaka 2015/11/14 Kamanda Alphonce Mawazo aliuawa kikatili hatua chache kutoka kituo cha polisi katoro saa nne asubuhi. Alikatwa mapanga na watu makatili sana. Wanaofikiri siasa ni uadui na wapinzani malipo yao ni kifo , kupotezwa kutekwa kubambikiwa kesi kubwa kubwa na ukatili wa aina hiyo.
Kifo cha mawazo kilifungua ukurasa mpya wa siasa za Tanzania na sasa hali ni mbaya zaidi. Usithubutu kuwa mpinzani, utaenda na maji.
Wajue ya kuwa upinzani sio mtu upinzani ni fikra na huletwa na wakati
Rest in peace Kamanda Mawazo
Mwenyekiti wa CHADEMA Geita
Mbunge wa Busanda
Fikra zako bado zinaishi.
Kifo cha mawazo kilifungua ukurasa mpya wa siasa za Tanzania na sasa hali ni mbaya zaidi. Usithubutu kuwa mpinzani, utaenda na maji.
Wajue ya kuwa upinzani sio mtu upinzani ni fikra na huletwa na wakati
Rest in peace Kamanda Mawazo
Mwenyekiti wa CHADEMA Geita
Mbunge wa Busanda
Fikra zako bado zinaishi.