Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Kuundwa kwa ACT-Zito na CCM kunaifanya kambi ya upinzani iwe na kibarua kikubwa kwani sasa inabidi ipambane na adui anaijifanya ni mpinzani na adui aliyetengeneza mamluki.
Mobutu style.
CDM, CUF, NCCR wanatakiwa kuwa macho usiku kucha kwani kabla ya october thoruba nyingine italetwa na mfu CCM hasa ikizangitiwa mkwa huu wa kukata roho utakuwa mgumu sana kwa CCM kukubali kufa kirahisi.
Kikiwa kimetumia fedha nyini sana kudhoofisha upinzani, kauli ya wassira mwaka na ushee uliopita kwamba CDM itakufa mwaka uliopita wakiwa na matumaini mtandao wa ZZk-kitila Msando, mwigamba ungefanya kazi walijikuta kibarua kikianza upya baada ya waliotumwa kufanya kazi kushindwa kabisa ku-deliver.
ACT imeshindwa kabla haijaanza, mpaka sasa ZZK hana uwezo tena kusema anaweza kushinda jimbo gani la uchaguzi baada ya kujua wazi hana nguvu tena za kushinda kigoma kaskazini kwani ni kati ya wabunge dhaifu sana wa CDM waliokuwa wanashinda kwa mbinde na tofauti ndogo sana ya kura ukilinganisha na wabunge wengine wa CDM.
Mwaka huu ambapo ukawa upo kazini mamluki wamejikuta wakikosa mbinu mbadala.
Tunaanza na mungu na Tutamaliza na mungu.
Mobutu style.
CDM, CUF, NCCR wanatakiwa kuwa macho usiku kucha kwani kabla ya october thoruba nyingine italetwa na mfu CCM hasa ikizangitiwa mkwa huu wa kukata roho utakuwa mgumu sana kwa CCM kukubali kufa kirahisi.
Kikiwa kimetumia fedha nyini sana kudhoofisha upinzani, kauli ya wassira mwaka na ushee uliopita kwamba CDM itakufa mwaka uliopita wakiwa na matumaini mtandao wa ZZk-kitila Msando, mwigamba ungefanya kazi walijikuta kibarua kikianza upya baada ya waliotumwa kufanya kazi kushindwa kabisa ku-deliver.
ACT imeshindwa kabla haijaanza, mpaka sasa ZZK hana uwezo tena kusema anaweza kushinda jimbo gani la uchaguzi baada ya kujua wazi hana nguvu tena za kushinda kigoma kaskazini kwani ni kati ya wabunge dhaifu sana wa CDM waliokuwa wanashinda kwa mbinde na tofauti ndogo sana ya kura ukilinganisha na wabunge wengine wa CDM.
Mwaka huu ambapo ukawa upo kazini mamluki wamejikuta wakikosa mbinu mbadala.
Tunaanza na mungu na Tutamaliza na mungu.