Teacher1
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 333
- 149
Wasomi wengi nchini kushindwa kufanya vizuri katika siasa hasa za chama tawala inatuletea picha zifuatazo.
1. Siasa katika chama hicho hazitaki mtu makini
2. Chama tawala hakitaki watu wasomi wanaotaka mambo yafuate principals na ndiyo maana hakuna mikakati wa kunyanyua elimu ya Watanzania
3. Chama tawala Kina mambumbu wengi wasio weza kuelewa mambo makubwa ya kitaaluma
Unaweza kuangalia Maprofesor, madokta mbalimbali hapa nchini walivyoshindwa kung'ara katika utekelezaji wa majukumu yao ya kisiasa.
1. Siasa katika chama hicho hazitaki mtu makini
2. Chama tawala hakitaki watu wasomi wanaotaka mambo yafuate principals na ndiyo maana hakuna mikakati wa kunyanyua elimu ya Watanzania
3. Chama tawala Kina mambumbu wengi wasio weza kuelewa mambo makubwa ya kitaaluma
Unaweza kuangalia Maprofesor, madokta mbalimbali hapa nchini walivyoshindwa kung'ara katika utekelezaji wa majukumu yao ya kisiasa.