Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,396
- 6,363
Tena tunawabatiza majina ili ndugu na jamaa wakiwatafuta wasiwapate kabisaa!Kwa hiyo mkibambikia watu kesi na kuteka watu uchumi utakua? hizi ndio akili za CCM
Tena tunawabatiza majina ili ndugu na jamaa wakiwatafuta wasiwapate kabisaa!Kwa hiyo mkibambikia watu kesi na kuteka watu uchumi utakua? hizi ndio akili za CCM
CUF, TLP na NCCR walipokuwa na nguvu kila mmoja alipitia wanachopitia Chadema hiyo ndiyo kawaida ya CCM na polisi. Mahita alipoona visu vyenye rangi kama za CUF akadai CUF wameingiza silaha nchini na kuzisambaza madukani! Mahita hajaanza leo utata.Mbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?
CHADEMA sio wasababishi wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!
Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
Makosa ya Chadema ni pamoja naMbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?
CHADEMA sio wasababishi wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!
Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
CHADEMA walifanya wrong timing to a right person.Mbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?
CHADEMA sio wasababishi wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!
Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
Du. Aseee!CHADEMA walifanya wrong timing to a right person.
Rais SSH alikuja kiuungwana kabisa.
Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH walikuwa ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".
Nlitegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri nijenge uchumi.
Duniani tunaishi kwa win- win situation. Kama Samia ameduta kesi za kubambikiza, Mahakama zimeanza kutenda haki, akaunti za Mbowe zimefunguliwa, uhuru wa maoni umeruhisiwa na hatua za kudhibiti COVID-19 zimeanza kuchukuliwa, hiyo ni WIN kwa CDM. Nilitegemea naye Rais SSH WIN yake iwe kusikiluzwa aliposema nataka nijenge uchumi kwanza.
On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA??
Hakuna Serikali duniani inaweza kukuvumilia kwa UJINGA kama huo
Chadema wana laana ya kuzunguka Duniani wakituombea watanzania tunyimwe misaada ili wananchi tupate shida na kuichukia serikali na hivyo tuinyime kura na kuiondoa madarakani.Mbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?
CHADEMA sio wasababishi wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!
Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
Huu ni uhuni na unafiki . Kusema ujenge uchumi kwanza. Uchumi umeanza kujengwa kuanzia awamu ya Nyerere , na haujawahi kuwa stable . Samia ndiyo aukamilishe kweli ?! Maghufuli alisingizia hicho hicho lakini mpaka anafariki tuaambiwa uchumi ulikuwa umeanguka toka 7% mpaka 4%. Huyu yeye ataweza kuujenga kwa siasa hizi za ki communist ?!CHADEMA walifanya wrong timing to a right person.
Rais SSH alikuja kiuungwana kabisa.
Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH walikuwa ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".
Nlitegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri nijenge uchumi.
Duniani tunaishi kwa win- win situation. Kama Samia ameduta kesi za kubambikiza, Mahakama zimeanza kutenda haki, akaunti za Mbowe zimefunguliwa, uhuru wa maoni umeruhisiwa na hatua za kudhibiti COVID-19 zimeanza kuchukuliwa, hiyo ni WIN kwa CDM. Nilitegemea naye Rais SSH WIN yake iwe kusikiluzwa aliposema nataka nijenge uchumi kwanza.
On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA??
Hakuna Serikali duniani inaweza kukuvumilia kwa UJINGA kama huo
Wameomba mkataliwe kwa sababu zipi ziainishe . Miaka 60 baada ya uhuru bado ni masikini wa kusaidiwa kujenga matundu ya choo !!Chadema wana laana ya kuzunguka Duniani wakituombea watanzania tunyimwe misaada ili wananchi tupate shida na kuichukia serikali na hivyo tuinyime kura na kuiondoa madarakani.
Chagga development manifesto
Wanaongoza kwa siasa za matusi na kejeli bila kutoa sera au hoja mbadala.
Wanaongoza kwa matusi badala ya hoja, siasa za kihuni kihuni na hasira baada ya kuwekwa pembeni na wananchi 2020.
Kwani nyie aliyewatuma Katiba ni nani? Lini na wapi wananchi walisema wanataka Katiba?Huu ni uhuni na unafiki . Kusema ujenge uchumi kwanza. Uchumi umeanza kujengwa kuanzia awamu ya Nyerere , na haujawahi kuwa stable . Samia ndiyo aukamilishe kweli ?! Maghufuli alisingizia hicho hicho lakini mpaka anafariki tuaambiwa uchumi ulikuwa umeanguka toka 7% mpaka 4%. Huyu yeye ataweza kuujenga kwa siasa hizi za ki communist ?!
Kwa wananchi wankaosa tiba, ajira na masoko ya mazao?Kwani nyie aliyewatuma Katiba ni nani? Lini na wapi wananchi walisema wanataka Katiba?
Wananchi wanataka maisha bora, watoto waende shule, wapate tiba, ajira, wauze mazao yao nk. Hiyo Katiba ni agenda za wanasiasa wanaotaka kuingia madarakani vis a vis wasiotakaka kutoka
Tatizo ni ushetani wa bibiMbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?
CHADEMA sio wasababishi wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!
Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
Kwani uwepo wa katiba bora inawazuia nini kufanya hayo uliyoyataja hapo juu?.Kama uwezo hakina ni hakuna tu.toka mmeongoza hii nchi porojo ni hizo hizo kila siku mkishindwa mnatafita visingizio.Kwani nyie aliyewatuma Katiba ni nani? Lini na wapi wananchi walisema wanataka Katiba?
Wananchi wanataka maisha bora, watoto waende shule, wapate tiba, ajira, wauze mazao yao nk. Hiyo Katiba ni agenda za wanasiasa wanaotaka kuingia madarakani vis a vis wasiotakaka kutoka
Nimependa ulivyomalizia. SO ushamba ndiyo tatizo hapa!Hizo ni hila tu za Ccm na viongozi wake waliokosa fikra mpya zakulikomboa hili taifa ndo maana wanatumia hila kudhoofisha wapinzani wao kisiasa.Mambo mengine ni ushamba tu.
Kwani uwepo wa katiba bora inawazuia nini kufanya hayo uliyoyataja hapo juu?.Kama uwezo hakina ni hakuna tu.toka mmeongoza hii nchi porojo ni hizo hizo kila siku mkishindwa mnatafita visingizio.
Kosa lao ni kudai katiba mpya huu ni ugaidi unaambiwaMbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?
CHADEMA sio wasababishi wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!
Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!
Tatizo CCM wameiba sana. Wa naogopa Chadema ikuchukua nchi maslahi yao yataenda na maji. Mtu kama Kina a na January siyo eti walimpenda Jiwe wakakesha usiku kucha kuiba matokeo ya 2015 kura. Ni kwasababu chama kubaki hili walindwe. Kina mtu mmoja tu anaingia kontena 700 umeona wapi? Wako radhi kuua wabaki madarakani.Mbona kama ni wazi kabisa wanaCHADEMA wamekuwa subject wa manyanyaso nchi hii? Tatizo ni nini? Hawa wanaCHADEMA wana ubaya gani? Mbona mie mwenyewe wanangu ni wanaCHADEMA na sigombani nao pamoja na UCCM wangu? Tatizo liko wapi? Mbona tunajitengenezea mazingira mabaya hivi? Kwa nini inakuwa hivi? mbona kama CHADEMA wanazidi kupanda chati?
CHADEMA sio wasababishi wa kupanda gharama za miamala! CHADEMA hawajasababisha kutopanda kwa mishahara ya watumishi! CHADEMA hawajasababisha kupanda bei za mafuta! CHADEMA hawajasababisha kifo cha Mwendazake! CHADEMA sio chanzo cha waTanzania kugombea chanjo ya Covid! Wala hawakuwa chanzo cha Hamza kucharaza risasi!
Sasa hawa CHADEMA wana kosa gani? Hebu ninaomba wenzangu mnisaidie kuliona kosa la CHADEMA!