mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,564
- 6,403
Kabisa mkuu, na uchawi lazima uhusike kwa % kubwaSiasa ni mauza uza!
Kabisa mkuu, na uchawi lazima uhusike kwa % kubwaSiasa ni mauza uza!
Leo Slaah anachoma mihogo, na mwenyekiti anahangaika na Wema !
ha ha ha hah ah ahaaa,daah hii dunia washari hawatokaa waishe mecheka bila kutegemea baada ya kuiona hii picha na maelezo yake..
Mkuu nina siku sikuoni auMkuu iyo nayo ni siasa?
Nani alijua kama Tundu Lissu angekuja kupigwa risasi zaidi ya ishirini na bado kasalimika!!!!!!Nimejaribu kuwaza tu.
Kwamba leo Lowassa ni chadema duuu......
Kwamba leo Sumaye ni chadema dah.....
Kwamba leo magufuli ni rais wa nchi hii.....aiseeee (nimekumbuka mitandao ya urais ndani ya ccm)
Kwamba leo Makonda ana nguvu ndani ya serikali kuliko Nape...aiseeee
Kwamba, leo Shonza ni naibu waziri Nape yupo twitter........aiseeeeee weka mbali na watoto
Kwamba, leo rais wa USA ni Donald Trump mamaaaaaa......hajawahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
Kwamba, rais wa Ufaransa ana miaka hahahahhaha 34 nini hahahaha....sijui.
Kwamba, leo ..........................................
Endeleeni kwamba leo.........hahahahahaha
Achana na siasa wewe.