Siamini Kuwa Tanzania Hatuna Wataalam wa Kilimo

Kichuguu

Platinum Member
Oct 11, 2006
15,544
19,398
Nimesoma gazeti moja kuwa Tanzania inakabiliwa na upungufu mkubwa sana wa wataalam wa Kilimo. Tuna Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine na vyuo vingine vingi sana vya Kilimo kama Ukiriguru, n.k. Wapo au wote wanishia majuu. Na kama wanaishia majuu, kwa nini?
 
Nimesoma gazeti moja kuwa Tanzania inakabiliwa na upungufu mkubwa sana wa wataalam wa Kilimo. Tuna Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine na vyuo vingine vingi sana vya Kilimo kama Ukiriguru, n.k. Wapo au wote wanishia majuu. Na kama wanaishia majuu, kwa nini?

Wapo, tena wengi,unemployed.We cannot differinciate between " Mtaalam wa kilimo " and "Mkulima".If the goverment were to utilise the trained/qualified manpower locally available at home and not frustrate them we would make great strides.
Till today the goverment does not have an inventory/list of qualified Tanzanians to the best of my knowledge.I cannot remember being asked as to what my level of learning was when the last census was conducted.
 
Yaani hv ni vichekesho, anyways labda hiyo hoja kama inazungumzia wakulima kama comrade44 anavyosema hapo juu.
Hapa nchini hii ndio profession yenye watu waliosoma kuliko probably nyingine yeyote ile. Kila chuo cha kilimo ndani ya Tz regardless of how small it is utakuta kuna Phd's zaidi ya tatu. Mimi nna marafiki zangu kama watano ambao ni "bank tellers" na hii imetokana na wao kukosa ajira and therefore kushindwa kukusanya mtaji kwenda kwenye fani zao. Serikali ijaribu kufanya statistics ya watu wa fani hii ya kilimo and they will truly be surprised???
 
I got the feeling hii serikali inapiga debe tu kuwa hakuna wataalamu wa kilimo Tz ili wapate misaada ya chakula kutoka nje ya nchi tu. Hakuna sababu ya hata kufikiria eti hatuna wataalamu wa kilimo wakati tuna vyuo vya kilimo nyumbani kibao, hii ni kuwatukana hata waalimu wa vyuo hivyo. Serikali iingie huko vyuoni ili iwashirikishe hao wanafunzi na wale waliosoma na kumaliza katika fani hiyo, iwape mitaji halafu waone jinsi gani watu watakavyochangia uchumi wa tz.
On the other hand kilimo si unajua Tz kinavyodharaulika, maanake mkulima wa Tz atalima akishavuna serikali itamkopa mazao yake imlipe baadaye! what a shame.Wakulima wanakuwa ndio maskini sana Tz wakati wao ndio wanaofanya kazi sana.
We have a long way to go. Wakati sasa Tz uchumi wake unategemea kilimo. Mh
 
I got the feeling hii serikali inapiga debe tu kuwa hakuna wataalamu wa kilimo Tz ili wapate misaada ya chakula kutoka nje ya nchi tu. Hakuna sababu ya hata kufikiria eti hatuna wataalamu wa kilimo wakati tuna vyuo vya kilimo nyumbani kibao, hii ni kuwatukana hata waalimu wa vyuo hivyo. Serikali iingie huko vyuoni ili iwashirikishe hao wanafunzi na wale waliosoma na kumaliza katika fani hiyo, iwape mitaji halafu waone jinsi gani watu watakavyochangia uchumi wa tz.
On the other hand kilimo si unajua Tz kinavyodharaulika, maanake mkulima wa Tz atalima akishavuna serikali itamkopa mazao yake imlipe baadaye! what a shame.Wakulima wanakuwa ndio maskini sana Tz wakati wao ndio wanaofanya kazi sana.
We have a long way to go. Wakati sasa Tz uchumi wake unategemea kilimo. Mh

So JK kweli ni msanii ama hathamini mambo ya nyumbani anapenda ya wazungu ?
 
I got the feeling hii serikali inapiga debe tu kuwa hakuna wataalamu wa kilimo Tz ili wapate misaada ya chakula kutoka nje ya nchi tu. Hakuna sababu ya hata kufikiria eti hatuna wataalamu wa kilimo wakati tuna vyuo vya kilimo nyumbani kibao, hii ni kuwatukana hata waalimu wa vyuo hivyo. Serikali iingie huko vyuoni ili iwashirikishe hao wanafunzi na wale waliosoma na kumaliza katika fani hiyo, iwape mitaji halafu waone jinsi gani watu watakavyochangia uchumi wa tz.
On the other hand kilimo si unajua Tz kinavyodharaulika, maanake mkulima wa Tz atalima akishavuna serikali itamkopa mazao yake imlipe baadaye! what a shame.Wakulima wanakuwa ndio maskini sana Tz wakati wao ndio wanaofanya kazi sana.
We have a long way to go. Wakati sasa Tz uchumi wake unategemea kilimo. Mh

mwanamama, La hasha, si kuwa Tanzania haina wataalam wa kilimo, Tanzania wapo wataalam wa kilimo, lakini hawatoshi. Mahitaji tuliyokuwa nayo ya wataamu wa kilimo ni mengi kuliko wataalam wachache tulio nao.

Halafu, utaalam unazidiana, na mbinu zinazidiana na inaonesha kuwa kuna maeneo ambayo tunahitaji wataalamu kutoka nje, hii ni kawaida kabisa katika fani yoyote. Nikimaanisha kuwa hata Tanzania tunao wataalamu wetu wa fani mbali mbali ambao wanatakikana nje ya Tanzania, hata katika nchi zilizoendelea huwatumia wataalamu wa kiTanzania mara kwa mara.

Hilo la kuhusu geresha ili tupate misaada, sijuwi, waswahili wanasema "lisemwalo lipo na kama halipo lina..." utajaza mwenyewe.
 
Mkuu mimi nafikiri kwamba wataalam ni wengi tu ama wa kumaliza kozi katika vyuo kama Uyole na kadhalika na hatimae kuhitimu shahada mbalimbali pale SUA.

Nnakumbuka kuwaona baadhi ya wataalam hawa wakiwa na pikipiki mpya wanazopewa na wizara na mwisho wake huzitumia kwenda katika vilabu vya pombe na kuzunguka katika shughuli zisizo za kilimo.

Pia nna marafiki na watu wengine ambao nnawafahamu ambao wameamua ama kuwa walimu wa kilimo au kuingia fani zingine.

Tatizo hapa ni lilelile la siku zote, sera zisizofuatiliwa.

Wizara husika inapaswa kuwa na sera madhubuti za kuhakikisha ile mikoa minne au "the big four" (Iringa, Rukwa,Ruvuma na Mbeya) , inaendelea kulisha nchi yetu huku mikoa mingine ikitayarishwa kuwa na "supply" ya kila kitu bila "scarcity" kuhusu suala la chakula ambapo Tanzania haitakuwa na tatizo la njaa.

Tanzania ina bahati ya kuwa na wanasiasa mahiri majukwaani lakini kumbe wana mipango kabambe ya kuwa mafisadi wa kuotea mbali.
 
So JK kweli ni msanii ama hathamini mambo ya nyumbani anapenda ya wazungu ?



I believe anapenda mambo tu nje na kutamani tz siku moja tuamke tuwe kama ulaya, which is impossible, we do have our own future ambayo inatokana na past yetu. We need to embrace the past and create our own future. Kwani hatuwezi kuwa na mambo waliyonayo wazungu kwa sababu matatizo waliyonayo ni unthinkable.
Mimi ninaamiini Tz bado tuna maafisa kilimo wengi tu. Lakini there is a disconnect pale wanapomaliza shule zao, je serikali inawaajiri au serikali inawafanya nini? Wanakwendaga wapi hawa watu?
Kwa sababu serikali kudai kuwa haina maafisa kilimo wa kutosha inatia utata kidogo, kwani hivi vyuo vimekuwa vikifuza na kutoa shahada kila mwaka kwa miaka mingi sasa. Ni jukumu la serikali inayoimba kuwa uchumi unategemea kilimo kuwa-embrace hawa watu na kuwatumia, na sio propaganda moja baada ya nyingine.
 
Nimesoma gazeti moja kuwa Tanzania inakabiliwa na upungufu mkubwa sana wa wataalam wa Kilimo. Tuna Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine na vyuo vingine vingi sana vya Kilimo kama Ukiriguru, n.k. Wapo au wote wanishia majuu. Na kama wanaishia majuu, kwa nini?

Mliosoma SUA mje hapa
 
Wana TAALUMA wengi, wanazisoma/wamezisoma ALAMA za Nyakati, wote hawa wana NDOTO ya kuwa SI WANASIASA bali WABUNGE angalau kwa MUHULA mmoja tu.

Mshahara MZURI, Posho ya Kutosha, Kiinua Mgongo kisicho katwa KODI....!!

Yote haya, yanamtoa UDENDA si Mwanazuoni tu bali pia Mkufunzi mwenye Taaluma ambayo ni Msingi na Mtaji tosha kwa Taifa na Mwananchi kwa ujumla wake..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana TAALUMA wengi, wanazisoma/wamezisoma ALAMA za Nyakati, wote hawa wana NDOTO ya kuwa SI WANASIASA bali WABUNGE angalau kwa MUHULA mmoja tu.

Mshahara MZURI, Posho ya Kutosha, Kiinua Mgongo kisicho katwa KODI....!!

Yote haya, yanamtoa UDENDA si Mwanazuoni tu bali pia Mkufunzi mwenye Taaluma ambayo ni Msingi na Mtaji tosha kwa Taifa na Mwananchi kwa ujumla wake..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu
 
Yaani hv ni vichekesho, anyways labda hiyo hoja kama inazungumzia wakulima kama comrade44 anavyosema hapo juu.
Hapa nchini hii ndio profession yenye watu waliosoma kuliko probably nyingine yeyote ile. Kila chuo cha kilimo ndani ya Tz regardless of how small it is utakuta kuna Phd's zaidi ya tatu. Mimi nna marafiki zangu kama watano ambao ni "bank tellers" na hii imetokana na wao kukosa ajira and therefore kushindwa kukusanya mtaji kwenda kwenye fani zao. Serikali ijaribu kufanya statistics ya watu wa fani hii ya kilimo and they will truly be surprised???

wapo wengi tu, wengine wamejiajiri bodaboda kutokaba na serikari kutowaajiri, kwa sababu wamekosa mitaji ya kufanya agribusiness wameingia kwenye shughuri zisizo rasmi na kusababisha upungufu mkubwa wa wataalam wak kilimo , pia serikali haijakipa kilimo kpaumbele
> pamoja na kilimo cha ma
zoea kwa watz ambao wengi wanalima kwa ajil ya kula (tumbo) tofauti na wenzetu wenye maafa ambap wabalima kwa ajili ya uchumi na kula.

Nb: Ni vyema serikali ikatambua kuwa kilimo ni kazi pamoja na wananchi kutambua kilimo kuwa kazi kama udaktari , ualimu na uandis etc kwani wakulima wengi ukiwauliza unafanyakazi gani anakujibu ""sina kazi ila mimi ninalima tu"" hii inatokana na wao kuona kulimo siyo ajira .
Ni lazima kilimo kiwe formalized kama shughuri nyingine
 
Back
Top Bottom